Eddy Love
JF-Expert Member
- Jul 25, 2011
- 13,654
- 8,564
aisee kumbe ni mie tu waliobakia wote unawakubali,hongera kwakuwa na moyo wa kuwakubaliaMiongoni mwa watu nisio wakubali humu JF wewe ni namba 1
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
aisee kumbe ni mie tu waliobakia wote unawakubali,hongera kwakuwa na moyo wa kuwakubaliaMiongoni mwa watu nisio wakubali humu JF wewe ni namba 1
Kwenye mabasi ya mwendo kasi na daladala za Kimara.Sio wewe ulisema ni domo zege unaomba ufundishwe namna ya kupiga sound ? Hao mademu makalio unawashikia wapi ?
Hii kitu inakua kwa kasi ya ajabu sana ktk vichwa vya watu, ilinikuta siku moja pub nimelewa sana nikamuona demu mmoja akiwa na majamaa zake kadhaa, nilivoona stail alosimama, huku mguu mmoja kauweka kwe kisehem cha kukanyagia cha stuli, kwa namna kalio likivotokeza, hakiamungu nilipagawa nikajikuta nimeputa na kupiga kikofi kwe lile tako "paaaaah", kiukweli alustuka sana na kunigeukia, mi nikamuomba samahani tu, na kwa vile hakupenda watu wajue kilichotokea, akakausha kiroho safi nikasepa zangu.Yan huwa sielewi kwa nini napenda kubambia mademu na kushika shika makalio yao
Sielewi kwa nini
Niambieni hivi ni kwa nini?
Chunga sana kwani kama unafanya hivyo bila ya ridha ya anayepapaswa ni kosa la jinai [udhalilishaji wa kijinsiaYan huwa sielewi kwa nini napenda kubambia mademu na kushika shika makalio yao
Sielewi kwa nini
Niambieni hivi ni kwa nini?
tafadhali mods naomba mtuondoshee hawa psychopaths humu......
wanakera sana.
juzi kabeba avatari ya shunnie, leo kabeba ya Ngabu.....
Ahahahahaha Una experience enhee [HASHTAG]#Karucee[/HASHTAG]Hiyo kazi haiihitaji sound. Ni mute na mikono tu.
Kwani hizo avatar wamezinunua??tafadhali mods naomba mtuondoshee hawa psychopaths humu......
wanakera sana.
juzi kabeba avatari ya shunnie, leo kabeba ya Ngabu.....
AhahahahahahahhMiongoni mwa watu nisio wakubali humu JF wewe ni namba 1
Ashatokaa mbonaa[HASHTAG]#freemaxencemelo[/HASHTAG]
Kutoka napo ni K[emoji23] [emoji23] [emoji23]Ashatokaa mbonaa