Sele Mkonje
JF-Expert Member
- Oct 2, 2011
- 643
- 845
Habari Zenu wakuu,
Kuna kipindi nilikuwa sipendi kabisa habari za siasa but kutokana na maisha yanavyozidi kwenda nimekuwa nikivutiwa sana na Siasa.
Nimekuwa mfuatiliaji sana wa mambo mbali mbali za kisiasa Tanzania na Nje ya Tanzania.
Napenda kuona jinsi wachambuzi wanavyodadavua mada mbali mbali kwa umakini wa hali ya juu na ustadi mkubwa.
Sasa basi naombeni mnishauri nianzie wapi,na je kuwa mchambuzi wa maswala ya kisiasa yanahitaji elimu kubuwa sana,nifanye nini ili nisibase upande mmoja na niwe nabalance mambo katika uchambuzi wa siasa.
Natanguliza Shukurani zangu za dhati na natarajia majibu yenye mantiki ambayo yatakuwa msaada mkubwa kwangu.
[HASHTAG]#mckonjetv[/HASHTAG]
Kuna kipindi nilikuwa sipendi kabisa habari za siasa but kutokana na maisha yanavyozidi kwenda nimekuwa nikivutiwa sana na Siasa.
Nimekuwa mfuatiliaji sana wa mambo mbali mbali za kisiasa Tanzania na Nje ya Tanzania.
Napenda kuona jinsi wachambuzi wanavyodadavua mada mbali mbali kwa umakini wa hali ya juu na ustadi mkubwa.
Sasa basi naombeni mnishauri nianzie wapi,na je kuwa mchambuzi wa maswala ya kisiasa yanahitaji elimu kubuwa sana,nifanye nini ili nisibase upande mmoja na niwe nabalance mambo katika uchambuzi wa siasa.
Natanguliza Shukurani zangu za dhati na natarajia majibu yenye mantiki ambayo yatakuwa msaada mkubwa kwangu.
[HASHTAG]#mckonjetv[/HASHTAG]