Ze Blessed
Senior Member
- Aug 12, 2012
- 123
- 13
kiswahili kibovu sana mpaka najisikia kutapika au ndio nyie darasa la 7 mnaopita kimagumashi?
Hahahaha.... anaelekea UDSM huyu...
Sasa hizo "xana" ndo nini? Wewe kijana mbona unaharibu kiswahili makusudi?Nashukuru xana kwa wale wote amba wame2tangulia kieliemu na wenye xperience na maisha ya chuo. Binafsi nimejifunza mengi xana kupitia hao watu kutokana na ushauri mzuri kupitia ushuhuda wao walipokuwa au wawapo chuoni, nashukuru kwa ww ulye2pa nasaha kuhusu yule jamaa wa mahafali, nakushukuru ww ulie2ambia kuwa ktambulisho chako ndo kila k2 kukujulsha uwanachuo baada ya kukutana na meng, nakushukuru ww pia ambae ume2weka waz kuhusu bumu na mpk sasa unalichukia. Natumai maushauri mazuri yalkua meng bt am a new member, bg up xana kwa hawa watu
Hahahaha.... anaelekea UDSM huyu...
kwani akielekea udsm kuna shida gani? Au ulitaka aende Zoom or udom?
inamaana wewe hujui matatizo yaliyoletwa na udsm katika taifa hili?
inamaana wewe hujui matatizo yaliyoletwa na udsm katika taifa hili?
kiswahili kibovu sana mpaka najisikia kutapika au ndio nyie darasa la 7 mnaopita kimagumashi?
Ndo tatizo lenu wabongo mnakosoa vitu vya ajabu ajabu bila kuangalia umeelewa na kuchangia mada husika, kama hapa umeishia kuponda pasipo kuchangia chochote
kiswahili kibovu sana mpaka najisikia kutapika au ndio nyie darasa la 7 mnaopita kimagumashi?
inaoneka tu ndio maana anamchecheto wa kwenda kuhangaikia g.p.a ya 2.5
Sasa hizo "xana" ndo nini? Wewe kijana mbona unaharibu kiswahili makusudi?
Ndo tatizo lenu wabongo mnakosoa vitu vya ajabu ajabu bila kuangalia umeelewa na kuchangia mada husika, kama hapa umeishia kuponda pasipo kuchangia chochote
Yaani ulitaka watu wachangie kabla ya kumkosoa licha ya kuonesha kuwa ana lugha mbovu na inayodhihirisha uzembe?kwani asiandike 'tupo' badala ya '2po' au anajali sana muda?
kiswahili kibovu sana mpaka najisikia kutapika au ndio nyie darasa la 7 mnaopita kimagumashi?
huwezi kupanga na chako mada mbovu,kiswahili kibovu nyie ndio mnashusha heshima ya jamiiforumsww mwenye kiswahili sahihi, kimagumashi kiswahili cha wapi? Uckurupuke bwana kukosoa watu.
huwezi kupanga na chako mada mbovu,kiswahili kibovu nyie ndio mnashusha heshima ya jamiiforums