napenda kuwashukuru watu wa namna hii humu ndani

napenda kuwashukuru watu wa namna hii humu ndani

Ze Blessed

Senior Member
Joined
Aug 12, 2012
Posts
123
Reaction score
13
Nashukuru xana kwa wale wote amba wame2tangulia kieliemu na wenye xperience na maisha ya chuo. Binafsi nimejifunza mengi xana kupitia hao watu kutokana na ushauri mzuri kupitia ushuhuda wao walipokuwa au wawapo chuoni, nashukuru kwa ww ulye2pa nasaha kuhusu yule jamaa wa mahafali, nakushukuru ww ulie2ambia kuwa ktambulisho chako ndo kila k2 kukujulsha uwanachuo baada ya kukutana na meng, nakushukuru ww pia ambae ume2weka waz kuhusu bumu na mpk sasa unalichukia. Natumai maushauri mazuri yalkua meng bt am a new member, bg up xana kwa hawa watu
 
kiswahili kibovu sana mpaka najisikia kutapika au ndio nyie darasa la 7 mnaopita kimagumashi?
 
Nashukuru xana kwa wale wote amba wame2tangulia kieliemu na wenye xperience na maisha ya chuo. Binafsi nimejifunza mengi xana kupitia hao watu kutokana na ushauri mzuri kupitia ushuhuda wao walipokuwa au wawapo chuoni, nashukuru kwa ww ulye2pa nasaha kuhusu yule jamaa wa mahafali, nakushukuru ww ulie2ambia kuwa ktambulisho chako ndo kila k2 kukujulsha uwanachuo baada ya kukutana na meng, nakushukuru ww pia ambae ume2weka waz kuhusu bumu na mpk sasa unalichukia. Natumai maushauri mazuri yalkua meng bt am a new member, bg up xana kwa hawa watu
Sasa hizo "xana" ndo nini? Wewe kijana mbona unaharibu kiswahili makusudi?
 
kiswahili kibovu sana mpaka najisikia kutapika au ndio nyie darasa la 7 mnaopita kimagumashi?

Ndo tatizo lenu wabongo mnakosoa vitu vya ajabu ajabu bila kuangalia umeelewa na kuchangia mada husika, kama hapa umeishia kuponda pasipo kuchangia chochote
 
Ndo tatizo lenu wabongo mnakosoa vitu vya ajabu ajabu bila kuangalia umeelewa na kuchangia mada husika, kama hapa umeishia kuponda pasipo kuchangia chochote

Yaani ulitaka watu wachangie kabla ya kumkosoa licha ya kuonesha kuwa ana lugha mbovu na inayodhihirisha uzembe?kwani asiandike 'tupo' badala ya '2po' au anajali sana muda?
 
kiswahili kibovu sana mpaka najisikia kutapika au ndio nyie darasa la 7 mnaopita kimagumashi?

haina noma kaka, bt i op msg sent and delivery to u, naamin ulikua ulikua na A ya kiswahli o'level.
 
Ndo tatizo lenu wabongo mnakosoa vitu vya ajabu ajabu bila kuangalia umeelewa na kuchangia mada husika, kama hapa umeishia kuponda pasipo kuchangia chochote

pamoja kaka nimekusoma, hayo yalikua maoni yang
 
Yaani ulitaka watu wachangie kabla ya kumkosoa licha ya kuonesha kuwa ana lugha mbovu na inayodhihirisha uzembe?kwani asiandike 'tupo' badala ya '2po' au anajali sana muda?

haya kaka op una A ya kiswahl bt naamin ujumbe umekufkia pia.
 
ww mwenye kiswahili sahihi, kimagumashi kiswahili cha wapi? Uckurupuke bwana kukosoa watu.
huwezi kupanga na chako mada mbovu,kiswahili kibovu nyie ndio mnashusha heshima ya jamiiforums
 
Back
Top Bottom