Napenda kuwashukuru wote kwa mawazo yenu

Hongera,endelea na moyo huo huo utafika mbali sana...
 
Asante kwa kuleta mrejesho, na hii ndio faida ya JF ingawaje kuna watu hawataki kuiona ikiwa hai. Cha muhimu ni kuwa na nidhamu ya matumizi maana tayari una nidhamu ya mapato.
 
Asante kwa kuleta mrejesho, na hii ndio faida ya JF ingawaje kuna watu hawataki kuiona ikiwa hai. Cha muhimu ni kuwa na nidhamu ya matumizi maana tayari una nidhamu ya mapato.
Mkuu nidhamu ipo ya hali ya juu sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…