Je wajua unywaji wa chai ya rangi husababisha kuwa na roho mbaya kwa ile rangi kubaki kwenye moyo na kuwa mweusi..tofauti na unywaji wa chai ya maziwa ambayo hufanya moyo kuwa mweupe na kukufanya uwe na roho nzuri..fanya utafiti kunakonyweka chai ya rangi na maziwa..just kidding! Mkuu kunenepa kuna sababu nyingi kitaalamu..