Napenda sana kula pweza, ila wauza pweza wa Dar asilimia 99 ni Wachafu na wala hawajui usafi ni nini

Napenda sana kula pweza, ila wauza pweza wa Dar asilimia 99 ni Wachafu na wala hawajui usafi ni nini

Nimekua mpenzi sana wa kula pweza, ila kula pweza Dar, kwa hawa wauzaji wetu barabarani, inataka uwe unafanana nao, usijue uchafu ni nini.

Unaona mtu amechagua mkia wa pweza, anaomba akatie vipande, jamaa anashika kwa mkono tu bila kunawa, akili ya kutumia uma, kushikia pweza anaekatwa hawana, mkono huo huo anashika pweza, anapokelea hela, anashikia stick anayojichokonolea kwenye meno.

Bakuli sasa ya kuwekea Supu, ni za plastick mpaka zimeingia rangi ya mchuzi wa pweza, jiulize maji wanayooshea baada ya mteja wa kwanza kuitumia, je vijiko vinanavyoingia ndani ya mdomo, wa kila mteja anekunywa supu, vinaoshwaje.

Ndugu zangu wauza pweza mjipende kwanza nyie ili muwapende wateja wenu pia, Pweza tunapenda ila.
Hii kero na mimi ndio ilinifanya niikatae supu ya pweza na pweza mwenyewe

Kila nikivuta picha bakuli nashea na wavuta sigara, wanywa pombe naishiwa na nguvu
 
Kwahiyo hawa wengine wanaotoa maoni juu ya bidha fulani, huwa wanalazimishwa kununua, ila siyo mbaya unajua hata umri unaongeza uweo wa fikra.
Kuondoa malumbano ndiyo maana nikakwambia kavue pweza baharini halafu ukapike mwenywe nyumbani kwako hapo tatizo lipo wapi?

Mim naona ww unashida kichwani unalazimishaje biashara ya mwenzio iwe safi?

Kama vp uza na ww pweza na michuzi yake halafu umaintain huo usafi unaoutaka wewe
 
Nimekua mpenzi sana wa kula pweza, ila kula pweza Dar, kwa hawa wauzaji wetu barabarani, inataka uwe unafanana nao, usijue uchafu ni nini.

Unaona mtu amechagua mkia wa pweza, anaomba akatie vipande, jamaa anashika kwa mkono tu bila kunawa, akili ya kutumia uma, kushikia pweza anaekatwa hawana, mkono huo huo anashika pweza, anapokelea hela, anashikia stick anayojichokonolea kwenye meno.

Bakuli sasa ya kuwekea Supu, ni za plastick mpaka zimeingia rangi ya mchuzi wa pweza, jiulize maji wanayooshea baada ya mteja wa kwanza kuitumia, je vijiko vinanavyoingia ndani ya mdomo, wa kila mteja anekunywa supu, vinaoshwaje.

Ndugu zangu wauza pweza mjipende kwanza nyie ili muwapende wateja wenu pia, Pweza tunapenda ila.
Nunua kapike mwenyewe.
 
Back
Top Bottom