kalagabaho
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,457
- 5,893
ukimwangalia for the first time unaweza sema yeye ndio boss... ila he very talented
Yaani mkuu kuna watu wanajipambanua kama Wakristo lakini matendo yao...!
Eti mtu kama huyu ni mchungaji.
Alafu Mtu Yeyote anapotuambia Ameokoka halafu anafanya kazi kwenye vyombo vya habari visivyo vya kidini nashindwa kumwelewa kwa sababu moja ya athari za hizi media ni kuharibu maadili ni sawa na kupingana na Imani yako! Mwenyewe!
Kuna wengine wako east Afrika radio nao wanajipambanua eti wameokoka kwenye vipindi vyao tu nyimbo wanaopiga ni sawa na disko.
Watu wamejaa unafiki wa kidini!
Nauliza usipouza dawa za kulevya hakuna shughuli nyingine itakayokulipa vizuri?
Sent from my using JamiiForums mobile ap
Nasisi atutaki wadadaAnaniachaga hoi tu anapoanza kutupa mikono hewani,halafu anasoma kwa kukatakata Sana maandishi, hadi habari inakosa mvuto, klauzi wanatufanyia makisudi tu, mbona kuna wale madada wanaflow vizur tu,
Babbie Kabaye huyu mdada me nampendaga mpaka naumwa jamani....oooh!
STANLEY GANZEL HUWA NI KAMA YUPO TILALILATeh teh bora nimwangalie bwana STANLEY GANZEL akitangaza kuliko huyu muhenga
Sent from my SAMSUNG-SM-G920A using JamiiForums mobile app
mmmhhh!!!Huyu jamaa ndio yule aliyeanzisha Night club (nadhani mnajua ndani ya night club kunafanyika nini ) ambayo anawaalika wasanii wa Gospel wanaenda kuburudisha wateja ????
Hahaha kweli aiseeSTANLEY GANZEL HUWA NI KAMA YUPO TILALILA
Hiv kumbe kitambo tu anajulikanaMchicha mwiba
duhJamaa bwabwa huyu, na anaomba waziwazi hafichi. .
Jamaa bwabwa huyu, na anaomba waziwazi hafichi. .
duh!! kwahiyo kwao wote ni mapunga zeze hadi baba yao !?sio yy tu kwao wavulana wote mambo safi bad enough,sijui luck enough na mwanae wa kiume ana mambo kama ya baba ake.hk anajuaa kunanganiaa akimpenda mtu balaaa muonenini tu vile..!
Aisee sasa mbona ana udhalilisha ukoohahaha elewaa hivy hivyo mkuu wote mambo safi ushindwe ww tu
kwakweli wanafiki wenzake tumemuelewa vizuri tuAsante mkuu, wanafki wenzako tumekuelewa vema.