Napenda sana wanaume warefu weupe

Ukifikisha miaka 28 bado upo single hio chagua chagua itakwisha.hapo utakapoanza kua bibi utajitongozesha hataa kwa mbilikimo
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] nmecheka sana
 
Hamia Arusha... Wamejaa kibao huko... Sasa wewe unakaa Kigoma asilimia tisini ya wanaume ni weusii tii na vishort dizaini ya Kafulila unategemea muujiza gani?
hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaha haya bhana
 
amina
 
Kilio chako nime kisikia upo tayar kutoa ushirikiano [emoji4] [emoji4]
 
kwa 33 years uliyo nayo haujawahi kupata hata mmoja, utampata lini sasa?
 
pole
 
Hahaaa tupoo karibu inbox
 
unawapata tu,but wengi hawana mtalimbo wana vipisi fulan ivi amazing au la sivo chembambaaa.mi nawapenda warefu weusi Afu wagumu fulan ivi,aisee hao kwenye shoo utawapenda.....wanakuwaga wagumu mpaka ndan.kitu kikishuka kinadunda tyuuuu
 
Tatizo wanawake huwa mmeshindwa kutafsiri uhalisia,ulefu au ufupi haulei au kumjari Mke.
Tabia njema ndiyo nguzo ya mume bora.
Wengi huwa mnaendelea kuzeeka bila kuolewa kwa kusubiri wanaume walefu,weupe ukishtuka una umri wa miaka 35 alafu hujampata mwanamume mlefu,mweupe.
Baada ya umri kupita mnaanza kujaza makanisa kwa wachungaji eti mnatafuta mume wa kuwaoa,wakati huo sasa wanaume wanakukimbia.Kwani mwanaume huwa anajiuliza miaka yote uliyonayo hadi karibu unazeeka hujaolewa lazima utakuwa na matatizo tu,kumbe wewe ulikuwa unatafuta mwanamume mlefu,maji ya kunde,ana mwili umejaa jaa kidogo,anasauti nzuri.Imeshakura kwako huwa mnaishia kuzalishwa tu kisha mnaendelea kulea watoto wasio na baba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…