Candela
JF-Expert Member
- Aug 12, 2021
- 817
- 2,180
Linapotokea tukio mtu kauwawa mara nyingi tunaita polisi wachukue mwili, lakini pia inapotokea mtu kajiua tunawaita polisi. Kuna ile mtu kajiua kwa sumu au kujinyonga ndani kwake, nitolee mfano tukio lililotokea mtaani.
Polisi walijulishwa kuwa kuna mtu kanywa sumu, wakafika eneo la tukio na kusimama nje kuzuia watu wasisogee bila hata kuingia ndani ya ile nyumba. Wakakaa pale wakisema wanasubiri utaratibu wabebe mwili.
Mpaka alipofika swaiba wa mhanga akauliza kama wamemuona jamaa wakasema asubiri jamaa akafosi kungia ndani kukuta mhanga hajakata roho ndio yupo tulii lakini hajafa bado.
Ndio kutoka kuwaambia polisi jamaa anapumua wakamkimbiza hospitali na polisi walifika pale takribani dakika 45 kabla ya jamaa. Kwa hiyo kama jamaa asingefika mhanga angekufa.
Chanzo cha yule bwana kunywa sumu ni kuwa alikopa pesa bank akaenda nazo home akamwonesha mkewe, takribani milion 35. Asubuhi akiwa kazini akapigiwa simu na jirani mtoto analia ndani mda mrefu na geti limefungwa, ikabidi arudi akakuta mkewe hayupo kasepa na hela zote.
Jamaa alipona na sasa anaishi na mkewe baada ya kufatiliwa walimpata akiwa ameshatumia milioni 5 ndani ya wiki 1.
KALULU THE HARE
Polisi walijulishwa kuwa kuna mtu kanywa sumu, wakafika eneo la tukio na kusimama nje kuzuia watu wasisogee bila hata kuingia ndani ya ile nyumba. Wakakaa pale wakisema wanasubiri utaratibu wabebe mwili.
Mpaka alipofika swaiba wa mhanga akauliza kama wamemuona jamaa wakasema asubiri jamaa akafosi kungia ndani kukuta mhanga hajakata roho ndio yupo tulii lakini hajafa bado.
Ndio kutoka kuwaambia polisi jamaa anapumua wakamkimbiza hospitali na polisi walifika pale takribani dakika 45 kabla ya jamaa. Kwa hiyo kama jamaa asingefika mhanga angekufa.
Chanzo cha yule bwana kunywa sumu ni kuwa alikopa pesa bank akaenda nazo home akamwonesha mkewe, takribani milion 35. Asubuhi akiwa kazini akapigiwa simu na jirani mtoto analia ndani mda mrefu na geti limefungwa, ikabidi arudi akakuta mkewe hayupo kasepa na hela zote.
Jamaa alipona na sasa anaishi na mkewe baada ya kufatiliwa walimpata akiwa ameshatumia milioni 5 ndani ya wiki 1.
KALULU THE HARE