Napendekeza liandaliwe tamasha la kuchangia matibabu ya Professor Jay

Napendekeza liandaliwe tamasha la kuchangia matibabu ya Professor Jay

Mungu amlinde na kumvusha Salama Prof my Idol.
Kwa hali aliyofikia ni kusogeza siku mbele tu, Bila huruma ya Mungu haiwezekani.
Daaah Huyu mwamba Leo hii anapambania uhai wake hivi....MUNGU MPONYE HIKI KIUMBE CHAKO BADO TUNAKIHITAJI SANA
 
Mastar wetu kwenye mitandao ya kijamii wanaishi maisha ya anasa sana na show off halafu ukiwakumbusha uhalisia wa maisha utaambulia matusi na block juu wanasahau sisi masikini wanaoturungishia maisha yao ndio msaada wao mkubwa wakipata matatizo ila wanajisahau kuanzia kwa,

RUGE MUTAHABA;Huyu hakuwa na makuu watu walimchangia imagine ruge na ma deals yote ila alichangiwa na wananchi wa hali ya chini.

WEMA;wapuuzi wameanzisha utaratibu wakumchangia gari what a waste of money kwa mtu kama yule aliyekuwa anatukana watu na mwenye jeuri.

PROF J ;siongei mengi sana kwasababu kwa sasa anapambania afya yake mwenye nacho asaidie ila mastaa wetu wana kejeli sana na jeuri na wanaona sisi hatufai kuwashauri kwani wametuzidi kila kitu ila wakipata matatizo ndo wanatukumbuka.
 
Ungetoa wazo kuwa tusisahau kupita hizi hospitali za serikali za mikoa na wilaya kutoa tumisaada.

Kuna watu wanauguza ndugu zao jicho limewatoka, wamekosa huduma fulani baada ya kushindwa kununua dawa ya sh elfu 10 tu.
Huko ndiko kuna thawabu na utu kuliko kuwachangia watu ambao wameshika mamilioni na mamilioni
 
Naunga mkono hoja miguu na mikono.
Nimewaza mimi kiande nikija kuumwa hiyo figo. Daah mtazika au kusafirisha.
 
Mastar wetu kwenye mitandao ya kijamii wanaishi maisha ya anasa sana na show off halafu ukiwakumbusha uhalisia wa maisha utaambulia matusi na block juu wanasahau sisi masikini wanaoturungishia maisha yao ndio msaada wao mkubwa wakipata matatizo ila wanajisahau kuanzia kwa,

RUGE MUTAHABA;Huyu hakuwa na makuu watu walimchangia imagine ruge na ma deals yote ila alichangiwa na wananchi wa hali ya chini.

WEMA;wapuuzi wameanzisha utaratibu wakumchangia gari what a waste of money kwa mtu kama yule aliyekuwa anatukana watu na mwenye jeuri.

PROF J ;siongei mengi sana kwasababu kwa sasa anapambania afya yake mwenye nacho asaidie ila mastaa wetu wana kejeli sana na jeuri na wanaona sisi hatufai kuwashauri kwani wametuzidi kila kitu ila wakipata matatizo ndo wanatukumbuka.

Kama unaumizwa na maisha ya mastaa basi pole sana utakufa kwa sonona.
 
Ungetoa wazo kuwa tusisahau kupita hizi hospitali za serikali za mikoa na wilaya kutoa tumisaada.

Kuna watu wanauguza ndugu zao jicho limewatoka, wamekosa huduma fulani baada ya kushindwa kununua dawa ya sh elfu 10 tu.
Huko ndiko kuna thawabu na utu kuliko kuwachangia watu ambao wameshika mamilioni na mamilioni
Hapa tunazungumzia Professor Jay.

Kila binadamu ana fungu lake. Ukilijua ilo hutopata maumivu Jay akichangiwa.
 
Kwamba Prof Jay hakuwa na BIMA ya afya?
 
Mwanangu tumepiga nae sana nyagi mitaa ya Africana alipohamia baada ya kuvunjiwa nyumba yake kimara. Get well soon brother
 
Nyagi huenda ndiyo chanzo cha matatizo ya leo aliyonayo
Siwezi kusema ni chanzo lakini labda niseme imechangia maana amezitandika kwelikweli hata whisky. Sasa waweza kukuta figo zilikuwa na msala wake tu sema hizi ndio zikachangia.

Unajua kuumwa figo sio lazima chanzo kiwe pombe kali maana chumvi yenyewe ikizidi mwilini unaweza kuumwa figo au chochote tu

Anyway maisha ndio yalivyo hata ukiacha kutoooo amba kichwani haimaanishi hautapata ukimwi.🤷
 
Nimemchangia kwa kweli ila MACHADEMA ni hovyo sana yaan iwamentelekeza kabisa huyu Mbunge aliewapa ruzuku zote hizo. Hata kutoa taarifa yake kimya.

Mpaka mke wake anasema eti wanaopiga tu simu kweli kweli hovyo sana Halafu hii michango wasisogeze pua hasa Mnyika na genge lake.
Unaweza kutoa mchango wako bila kutukana wengine..kutoa Ni moyo..
 
Back
Top Bottom