Napendekeza mikopo yote inayokopwa na serikali itumike kulipa madeni, na makusanyo yote ya Kodi yatumike kwenye bajeti

I have many ideas mkuu tatizo ni hela ndio changamoto and no body believe in us when we have nothing that's problem mkuu we have to prove ourselves
yah mkuu, mkuu itabid tuwe washikaji contacts zihusike , naona tuko uelekeo mmoja mkuu🙏
 
Kwa tafsiri yako unamaanisha wasikope kabisa?

Au wakope sehemu nyingine ili walipe madeni yaliyopo, yaani wahamishe madeni?
Shida ni kwamba tunazungusha madeni.

Bila kuchukua hizo pesa hutoona barabara, madaraja, hospitali, Wala mradi mkubwa wowote
 
Sasa kuliko ukope Ili kulipa mkopo uliopita, Si Bora usikope kabisa!!

Mkopo unatakiwa itumike kuzalisha faida kuongeza mtaji,Kisha utumie faida kulipa mkopo.

Mbeleni lazima Mwigu atakwama Kwa sera hizi.

Tusubiri!!
 
Sasa kuliko ukope Ili kulipa mkopo uliopita, Si Bora usikope kabisa!!

Mkopo unatakiwa itumike kuzalisha faida kuongeza mtaji,Kisha utumie faida kulipa mkopo.

Mbeleni lazima Mwigu atakwama Kwa sera hizi.

Tusubiri!!
Kinachofanyika sasa ni kwamba tunakopa ili kulipa madeni, maana tunakopa Trillion 10 kwa mwaka, na tunalioa Trillion 12 kwa mwaka, tafsiri yake ni hiyo, tunakopa kulipa madeni. Hivyo ni bora hiyi mikopo ibaki huko huko ijilipe yenyewe, sisi tulioe riba tu.., maana wakitupatia zinaishia mifukoni mwa watu tu na kupaisha deni..
 
Tunakopa Trillion 10 kwa mwaka na kulipa Trillion 12 papo hapo. Akili zetu zipo makalioni?
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…