John locke
JF-Expert Member
- May 6, 2012
- 836
- 1,288
Siyo mzururaji ni mjasiriamali, imebidi afunge biashara yake atulie nyumbani.Kwahiyo bibi yako alikuwa mzurulaji sio!!??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyo mzururaji ni mjasiriamali, imebidi afunge biashara yake atulie nyumbani.Kwahiyo bibi yako alikuwa mzurulaji sio!!??
Umekariri.Bila chanjo watu wataondoka sana. Hakuna njia nyingine ya kupambana na COVID zaidi ya hiyo
Kuna kiongozi mkubwa wa serikali muda wowote utasikia bendera nusu mlingotiKiukweli kama tunahitaji usalama basi mkoa wa Kilimanjaro uwekwe lock down. Hali huko ni mbaya kuliko inavyoelezwa.
Serikali kama hamtachukua tahadhari mapema msije kusema hamkuambiwa. Wageni wanoingia na kutoka kila siku ndani ya mkoa huo na kusambaa mikoa mingine ni kiama kwa wengine. Imeshakuwa hivyo kuwa Kilimanjaro ina wimbi kubwa la maambukizi ya Covid 19.
Familia moja inapoteza watu kwa zamu na naona serikali imechukulia poa watu wanapita pita tu.
Sisi tumesema!
They do not take it seriously labda ni kwakuwa kuna chama kimedominate hukoKiukweli kama tunahitaji usalama basi mkoa wa Kilimanjaro uwekwe lock down. Hali huko ni mbaya kuliko inavyoelezwa.
Serikali kama hamtachukua tahadhari mapema msije kusema hamkuambiwa. Wageni wanoingia na kutoka kila siku ndani ya mkoa huo na kusambaa mikoa mingine ni kiama kwa wengine. Imeshakuwa hivyo kuwa Kilimanjaro ina wimbi kubwa la maambukizi ya Covid 19.
Familia moja inapoteza watu kwa zamu na naona serikali imechukulia poa watu wanapita pita tu.
Sisi tumesema!
Ummy alimobilize vizuri sana mapambano last yearLockdown siyo ya lazima! Kinachotakiwa ni serikali kusisitiza wananchi kuzingatia taratibu zote za Afya ili kujikinga na ugonjwa huo.Kama kila mwananchi atakuwa serious kuchukua hatua zote za kujikinga madhara yanaweza yasiwe makubwa.
Acha ulofa, mimi napendekeza waweke lockdown ubongo wako.Mwanza ndio iwekwe lockdown maana imelemewa na covid
Nenda kachanjwe halafu kumbuka hayo mambo ya chanjo ni individual hukatawi wala hulazimishwi, naomba tu upunguze mihemko mkashirikiane na rais hiyo tar 28 kupata chanjo.Bila chanjo watu wataondoka sana. Hakuna njia nyingine ya kupambana na COVID zaidi ya hiyo
Unatumia makamasiWalishangilia kifo cha Magufuli Mungu anawanyoosha
Acha ushamba na wewe.. ukabila unakusaidia nini? Kwa hiyo wachaga wakiipata wewe unafaidika na nini? Ndo utakuwa tajiri?...Wacha wapate adhabu kama ni baridi mbona Makambako,Njombe kuko poa ? Wacha wachaga waipate fresh ya shamba
Panya wa majaribio mamaakoWapeleke chanjo zote huko tuwafanye panya wa majaribio. Na selikali imesema haihusiki na chochote kwa madhara ya chanjo lakini
We tulia. Mkoa wa kilimanjaro ndo tunataka tuwape chanjo kwanza. Harafu ndo asilimia kubwa ya walioitaka toka mwanzoPanya wa majaribio mamaako
Unazngua na ushindwe kwa jina la yesu,Tena umechangnyikiwa unatuombea mabayaWacha wapate adhabu kama ni baridi mbona Makambako,Njombe kuko poa ? Wacha wachaga waipate fresh ya shamba
Nyinyi mlivyofanya hakuna mtu mwenye akili timamu anaweza wavumilia waafrica mtu akifa wote tunakuwa kitu kimoja nyinyi mlichinja na kunywa migombani huku mkisherekea na bado Mungu azidi kuwadabisha kiukweli nawachukia sanaUnazngua na ushindwe kwa jina la yesu,Tena umechangnyikiwa unatuombea mabaya
Msiongee vitu msivyovijua,watu wanapukutika Moshi na Arusha. Mnaosema hakuna covid ngoja yawapate kwenye familia zenu ndio mtajua kuwa hamjui.Watu wanapenda kupayuka tuu, yaani Moshi hali iwe mbaya halafu Arusha na Dar es salaam pawe salama, kati Moshi na Dar wapi pana mzunguko mkubwa wa watu.
Nani huyo???Kuna kiongozi mkubwa wa serikali muda wowote utasikia bendera nusu mlingoti