Little brain
JF-Expert Member
- Oct 31, 2020
- 4,282
- 6,303
Jamaa ana elimu kubwa na pia ameitumikia klabu yetu kwa muda mrefu na kwa mafanikio makubwa. mimi naona anafaa kuwa Rais wa timu yetu ukizingatia umri wake bado ni kijana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ametumikia wapi? Weka rekod sawaJamaa ana elimu kubwa na pia ameitumikia klabu yetu kwa muda mrefu na kwa mafanikio makubwa. mimi naona anafaa kuwa Rais wa timu yetu ukizingatia umri wake bado ni kijana
Inaonekana umeanza kushabikia mpira mwaka huu Mwijaku ameitangaza sana simbaAmetumikia wapi? Weka rekod sawa
kwani unamchukuliaje Mwijaku?Tunaangaliaaa PESA vyeti apeleke clous
Hakika mkuuJamaa ulikuwa wapi?
Naunga mkono hoja... Anastahili
Kuanzia mwaka gani anaitangaza?Inaonekana umeanza kushabikia mpira mwaka huu Mwijaku ameitangaza sana simba
Toka mechi na Mbeya City Utopolo wote mumechanganyikiwa, viongozi wanaropoka,wazee wanabwabwaja na nyie vibwengo wa humu jukwaani ndiyo kabisa,sasa huu ni upopoma gani umepost? Hizi siyo dalili nzuri kabisa ubingwa mtausikia tu.Jamaa ana elimu kubwa na pia ameitumikia klabu yetu kwa muda mrefu na kwa mafanikio makubwa. mimi naona anafaa kuwa Rais wa timu yetu ukizingatia umri wake bado ni kijana
Ni comedian tu. Hana hata hadhi ya kuwa msemaji wa Simba,ni mropokaji tu.kwani unamchukuliaje Mwijaku?
Jamaa ana elimu kubwa na pia ameitumikia klabu yetu kwa muda mrefu na kwa mafanikio makubwa. mimi naona anafaa kuwa Rais wa timu yetu ukizingatia umri wake bado ni kijana
CLOUS ndio kitu gani mzee??Tunaangaliaaa PESA vyeti apeleke clous
Umepanic...BabraKabla ya kuandika ujinga kama huu mwulize Kwanza hata mmeo
🤣🤣🤣aiseeee