FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
- Thread starter
- #21
Halafu wataifanyia kazi kimya kimya bila hata kutoa acknowledgement.......Hii kitu inaanza kujadiliwa leo ila baada ya miaka kadhaa mbele itaanza kufanya kazi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu wataifanyia kazi kimya kimya bila hata kutoa acknowledgement.......Hii kitu inaanza kujadiliwa leo ila baada ya miaka kadhaa mbele itaanza kufanya kazi.
Nimewapa wazo bure kabisa, walifanyie kaziWazo lako umelikatia haki miliki lakini? Usije baadae kulia lia
Nadhani mifumo ya kidijitali imeimarishwa vya kutosha ili kuweza kuzuia wizi..Hiyo ni terrible idea.
Lazima hela ziibiwe tu.
... nakubaliana na wewe Mkuu; of course kwa "shitholes" hakuna lisilowezekana. Uko sahihi.Mbona ilitungwa sheria ya kuwalazimisha kuuza hisa, bunge ni bunge na sheria ni sheria.
Hiyo line utakuwa ya kampuni gani?? Au ya serikali?!Yaani badala ya wakala kubandika namba za kutolea pesa za mitandao tofauti tofauti, aweke namba moja tu ya wakala na wateja wenye line za mitandao yote waweze kutoa pesa kwa kutumia namba hiyo hiyo moja, halafu wenye mitandao watagawana wenyewe pesa huko kwa kutumia automatic system watakayojiwekea.
Inakera sana unataka kutoa pesa Tigo halafu wakala anakwambia labda utoa Voda, Tigo sina float. Au unataka kuwe pesa Airtel halafu wakala anakwambia labda weka Tigo, Airtel sina float, inakera sana.
Ni kama mabenki yalivyofanya kwa kutumia ATM za UMOJA ambapo mteja wa benki yeyote ile iliyounganishwa na UMOJA ATMs anaweza kwenda kutoa pesa kwenye ATM hizo halafu wao wanapigiana hesabu wao kwa wao automatically na kusettle accounts, hii imesaidia sana maana ingebidi kila benki iweke ATM yake kila kona ya nchi kitu ambacho kingekuwa ni ghali sana.
Hivi nimeeleweka kweli?
================================
Update: 19/06/2020
View attachment 1483235
Unazifahamu ATM za umoja ambazo zinatumika na wateja wa bank nyingi tofauti kama DCB, Twiga nk; zinamilikiwa na nani? Au ATM zilizounganishwa na Mastercard na Visa ambapo wateja wa benki yeyote kutoka nchi yeyote wantumia ATM hiyo hiyo kutoa pesa, zinamilikiwa na nani?Hiyo line utakuwa ya kampuni gani?? Au ya serikali?!
Hili ni jepesi kama ambavyo umejaribu kulishauri unafikiri?Yaani badala ya wakala kubandika namba za kutolea pesa za mitandao tofauti tofauti, aweke namba moja tu ya wakala na wateja wenye line za mitandao yote waweze kutoa pesa kwa kutumia namba hiyo hiyo moja, halafu wenye mitandao watagawana wenyewe pesa huko kwa kutumia automatic system watakayojiwekea.
Inakera sana unataka kutoa pesa Tigo halafu wakala anakwambia labda utoa Voda, Tigo sina float. Au unataka kuwe pesa Airtel halafu wakala anakwambia labda weka Tigo, Airtel sina float, inakera sana.
Ni kama mabenki yalivyofanya kwa kutumia ATM za UMOJA ambapo mteja wa benki yeyote ile iliyounganishwa na UMOJA ATMs anaweza kwenda kutoa pesa kwenye ATM hizo halafu wao wanapigiana hesabu wao kwa wao automatically na kusettle accounts, hii imesaidia sana maana ingebidi kila benki iweke ATM yake kila kona ya nchi kitu ambacho kingekuwa ni ghali sana.
Hivi nimeeleweka kweli?
================================
Update: 19/06/2020
View attachment 1483235
==========================
Update: 26/10/2022
Tigo na Zantel wameanza kutumia namba moja ya uwakala, mitandao mingine ya simu kujiunga hivi punde.
Update: 26/10/2022Hili ni jepesi kama ambavyo umejaribu kulishauri unafikiri?
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Kilichotokea kwa Zantel na tigo sio hiki unachokiongelea, Zantel imenunuliwa jumla na tigo ,so kwa kifupi sahv hakuna zantel tena,Tigo na Zantel wameshaanza kwa mafanikio makubwa sana, wanatumia namba moja ya uwakala kwa wateja wao wa Tigo na Zantel. Wateja wa Zantel wamenufaika zaidi, maana sasa wanatoa pesa hata kwa mawakala wa Tigo pesa.
Haijalishi mbinu iliyotokea, ila wateja wa Zantel wamenufaikaKilichotokea kwa Zantel na tigo sio hiki unachokiongelea, Zantel imenunuliwa jumla na tigo ,so kwa kifupi sahv hakuna zantel tena,
Watu wanachanganya mambo, Zantel haijaungana na tigo, Zantel imeuzwa kwa tigo
Sio mbinu ni mipango ya watu wenye akili zaoHaijalishi mbinu iliyotokea, ila wateja wa Zantel wamenufaika
Kwani nani kasema waliofanya hiyo mipango wana akili za kuazima? Kwamba sio akili zao?Sio mbinu ni mipango ya watu wenye akili zao