Napendekeza namba moja ya wakala kwa mitandao yote ya simu

Tatizo la ukosefu wa float limezidi kuwa sugu nchini..
 
Naona watu wanaiba innovation hapa 😂😂, natania bhana
 
Hiyo line utakuwa ya kampuni gani?? Au ya serikali?!
 
Hiyo line utakuwa ya kampuni gani?? Au ya serikali?!
Unazifahamu ATM za umoja ambazo zinatumika na wateja wa bank nyingi tofauti kama DCB, Twiga nk; zinamilikiwa na nani? Au ATM zilizounganishwa na Mastercard na Visa ambapo wateja wa benki yeyote kutoka nchi yeyote wantumia ATM hiyo hiyo kutoa pesa, zinamilikiwa na nani?
 
Update: 26/10/2022
Tigo na Zantel wameanza kutumia namba moja ya uwakala, mitandao mingine ya simu kujiunga hivi punde.
 
Hili ni jepesi kama ambavyo umejaribu kulishauri unafikiri?

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Tigo na Zantel wameshaanza kwa mafanikio makubwa sana, wanatumia namba moja ya uwakala kwa wateja wao wa Tigo na Zantel. Wateja wa Zantel wamenufaika zaidi, maana sasa wanatoa pesa hata kwa mawakala wa Tigo pesa.
 
Tigo na Zantel wameshaanza kwa mafanikio makubwa sana, wanatumia namba moja ya uwakala kwa wateja wao wa Tigo na Zantel. Wateja wa Zantel wamenufaika zaidi, maana sasa wanatoa pesa hata kwa mawakala wa Tigo pesa.
Kilichotokea kwa Zantel na tigo sio hiki unachokiongelea, Zantel imenunuliwa jumla na tigo ,so kwa kifupi sahv hakuna zantel tena,


Watu wanachanganya mambo, Zantel haijaungana na tigo, Zantel imeuzwa kwa tigo
 
Kilichotokea kwa Zantel na tigo sio hiki unachokiongelea, Zantel imenunuliwa jumla na tigo ,so kwa kifupi sahv hakuna zantel tena,


Watu wanachanganya mambo, Zantel haijaungana na tigo, Zantel imeuzwa kwa tigo
Haijalishi mbinu iliyotokea, ila wateja wa Zantel wamenufaika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…