TheDreamer Thebeliever
JF-Expert Member
- Feb 26, 2018
- 2,490
- 3,584
Wee unamuonaje??Akifika angalau group stage
Tupo kimataifa babu ligi inajumuisha wachezaji wa mataifa mengi..🤗🤗🤗Hivi kwanza iko nafasi ya ngapi kwenye ligi?
Bado tu kama Azam akienda kimataifaWee unamuonaje??
Itakuwa Wale Warundi, Wanyarwanda na Waganda umewahesabu kuwa ni Watanzania.Habari wadau..!
Binafsi napendekeza Namungo FC ndio hiwe timu ya Taifa .Au wadau mnasemaje???
Na kwa kuwa mheshimiwa waziri hii timu ndio inatokea kule kwake naamini atalifanyia kazi.
Acha basi bwa sheheHabari wadau..!
Binafsi napendekeza Namungo FC ndio hiwe timu ya Taifa .Au wadau mnasemaje???
Na kwa kuwa mheshimiwa waziri hii timu ndio inatokea kule kwake naamini atalifanyia kazi.
Naona umeanza kufuatilia na kuujua Mpira katika kizazi hiki cha bettingTupo kimataifa babu ligi inajumuisha wachezaji wa mataifa mengi..[emoji847][emoji847][emoji847]
Fedha kidogo tu ya kubadili mboga unajiona Bill Gates?Habari wadau..!
Binafsi napendekeza Namungo FC ndio hiwe timu ya Taifa .Au wadau mnasemaje???
Na kwa kuwa mheshimiwa waziri hii timu ndio inatokea kule kwake naamini atalifanyia kazi.
Utopolo wanahangaika kama kuku aliyekatwa kichwa kisha akaachwa.Yanga mnahangaika
Bange hizo kwani hujui kuwa kuna wageni mleHabari wadau..!
Binafsi napendekeza Namungo FC ndio hiwe timu ya Taifa .Au wadau mnasemaje???
Na kwa kuwa mheshimiwa waziri hii timu ndio inatokea kule kwake naamini atalifanyia kazi.
Mgeni si kocha Hemed Morroco😂😂😂😂Bange hizo kwani hujui kuwa kuna wageni mle
Utakuwa una wenda wazmu wwHabari wadau..!
Binafsi napendekeza Namungo FC ndio hiwe timu ya Taifa .Au wadau mnasemaje???
Na kwa kuwa mheshimiwa waziri hii timu ndio inatokea kule kwake naamini atalifanyia kazi.