Naomba kupendekeza nauli ya mwendokasi iwe elf moja
Leo nimepanda mwendokasi mara 4 na hawakuwa na chenji
Sijui ni stlye au ni kitu gani, vituo almost vitatu hawana 250
Ni Jambo la Aibu Sana mbona Kwa vyombo vya usafiri wa binafsi hakuna haya mambo?
Mnashindwa kwenda bank na kupata change
Basi Bora iwe nauli elf moja
Kinachofanyika hapo ni wizi tu kama wizi mwingine
Bank zipo kila kona zinaombea watu chenji wameshindwa nini kuchukua huko wakawapatia watu?
Hii kitu imeanza kulalamikiwa muda tu......wauze hisa kwa private sector chenji zitapatikana......
Hiyo ni excuse ya kitoto kabisa, yaani nauli ipande kisa chenchi? Mbona vinasi vingine hawajosi chenchi?Naomba kupendekeza nauli ya mwendokasi iwe elf moja
Leo nimepanda mwendokasi mara 4 na hawakuwa na chenji
Sijui ni stlye au ni kitu gani, vituo almost vitatu hawana 250
Ni Jambo la Aibu Sana mbona Kwa vyombo vya usafiri wa binafsi hakuna haya mambo?
Mnashindwa kwenda bank na kupata change
Basi Bora iwe nauli elf moja
Kudos mkuu...Naomba kupendekeza nauli ya mwendokasi iwe elf moja
Leo nimepanda mwendokasi mara 4 na hawakuwa na chenji
Sijui ni stlye au ni kitu gani, vituo almost vitatu hawana 250
Ni Jambo la Aibu Sana mbona Kwa vyombo vya usafiri wa binafsi hakuna haya mambo?
Mnashindwa kwenda bank na kupata change
Basi Bora iwe nauli elf moja
Ume kaa uka fikiria wee ukaona ilo ndo la kupendekeza nauli ziongezeke kwa sababu ww una weza kumudu ilo ongezeko vipi kwa wadau wengine wasio weza kulipa iyo alfu1?Naomba kupendekeza nauli ya mwendokasi iwe elf moja
Leo nimepanda mwendokasi mara 4 na hawakuwa na chenji
Sijui ni stlye au ni kitu gani, vituo almost vitatu hawana 250
Ni Jambo la Aibu Sana mbona Kwa vyombo vya usafiri wa binafsi hakuna haya mambo?
Mnashindwa kwenda bank na kupata change
Basi Bora iwe nauli elf moja
We kula kulala kwa shemeji yako sebuleni tulia maisha huyajui.Naomba kupendekeza nauli ya mwendokasi iwe elf moja
Leo nimepanda mwendokasi mara 4 na hawakuwa na chenji
Sijui ni stlye au ni kitu gani, vituo almost vitatu hawana 25
Ni Jambo la Aibu Sana mbona Kwa vyombo vya usafiri wa binafsi hakuna haya mambo?
Mnashindwa kwenda bank na kupata change
Basi Bora iwe nauli elf moja
Kwanini isiwe Miatano?Naomba kupendekeza nauli ya mwendokasi iwe elf moja
Leo nimepanda mwendokasi mara 4 na hawakuwa na chenji
Sijui ni stlye au ni kitu gani, vituo almost vitatu hawana 250
Ni Jambo la Aibu Sana mbona Kwa vyombo vya usafiri wa binafsi hakuna haya mambo?
Mnashindwa kwenda bank na kupata change
Basi Bora iwe nauli elf moja
Ingependeza zaidi kama ungerudishwa mfumo wa kadi hata kama ukilipa wakasema hawana chenji unajua utaitumia hela yako kwenye safari nyingine.Naomba kupendekeza nauli ya mwendokasi iwe elf moja
Leo nimepanda mwendokasi mara 4 na hawakuwa na chenji
Sijui ni stlye au ni kitu gani, vituo almost vitatu hawana 250
Ni Jambo la Aibu Sana mbona Kwa vyombo vya usafiri wa binafsi hakuna haya mambo?
Mnashindwa kwenda bank na kupata change
Basi Bora iwe nauli elf moja
Naomba kupendekeza nauli ya mwendokasi iwe elf moja
Leo nimepanda mwendokasi mara 4 na hawakuwa na chenji
Sijui ni stlye au ni kitu gani, vituo almost vitatu hawana 250
Ni Jambo la Aibu Sana mbona Kwa vyombo vya usafiri wa binafsi hakuna haya mambo?
Mnashindwa kwenda bank na kupata change
Basi Bora iwe nauli elf moja
Ingependeza zaidi kama ungerudishwa mfumo wa kadi hata kama ukilipa wakasema hawana chenji unajua utaitumia hela yako kwenye safari nyingine.
Sio kupandisha bei kiholela.
By the way bei inapanda soon maana washatoa hilo pendekezo la kuongeza nauli.