Napendekeza nauli ya Mwendokasi iwe elfu moja kuepusha kauli zao za 'hatuna chenji'

Warudishe mfumo wa DART, Mkurugenzi UDART ni mtu wa teknolojia, nlijua akiingia hapo hiyo ndio itakuwa task ya kwanza, ila sivyo nilivyotarajia. Maybe nayeye ameamua tafuna mwendokasi.
 
Kama tatizo chenji basi iwe JEFERO.
 
Omba Uraia wa Tanzania kwanza, ndio uchangie hoja za kizalendo

Hiki Kiswahili chako nadhan cha burundi
Typical mzaramo , urais haukufanyi ujue ligha, typing errors ila unakuza
Anyway i mean vibasi mbona hawapandishi nauli sababu hiyo?
 
Nauli yenyewe imekaa kiwizi wizi 750 izo 50 kupatikana sio rahisi
 
Kiufupi huo mradi umeshakuwa wa wendawazimu.bora ufutwe kabisa hauna tija.
 
Wew ni wa ajabu. Kwa nini wasitumie mfumo wa kadi au application ya simu unafika na kuscan tu unaingia?
Hela inawekwa kwenye kadi au mpesa huko...

Huoni matumizi ya 1000 yataipoteza Shilling 50 kwenye soko la fedha?
 
Wew ni wa ajabu. Kwa nini wasitumie mfumo wa kadi au application ya simu unafika na kuscan tu unaingia?
Hela inawekwa kwenye kadi au mpesa huko...

Huoni matumizi ya 1000 yataipoteza Shilling 50 kwenye soko la fedha?

50 imeshapotea,

Leo pia asubuh nimeambiwa 50 hamna
 
πŸ“ŒπŸ“Œ

Mwafrica hapendi hayo mambo,

Raha ya mwafrica ni kama hivyo, hamna chenji, foleni kubwa ya Abiria wanasubiri usafiri

Hapo ndio Roho inakuwa vizuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…