Napendekeza nishani kwa wafanyabiashara

Napendekeza nishani kwa wafanyabiashara

Buza

Member
Joined
Aug 7, 2011
Posts
57
Reaction score
14
Napendekeza idara ya TRA ingekuwa inatoa nishani kwa wafanyabiashara ambao wamefanikiwa kukua kwa viwango ambavyo wataviweka wao. Iwe wafanyabiashara wakubwa, wakati na wadogo. Wahojiwe waweze kueleza mbinu walizotumia kukua ili kuhamasisha kwanza ulipaji kodi pili kuhamasisha wafanyabiashara wengine kujifunza mbinu za wenzao pamoja na kuleta ushindani. Ikiwezekana raisi ndio atoe nushani hizo.
 
TRA wanafanya hivyo kila mwaka siku ya mlipakodi, tatizo kubwa sana katika siku hiyo hakuna mfanyabiashara wala Raia tu wa kawaida anaye onekana pale bali wale tu waliolipwa na TRA kuhudhuria kama vikundi vya tamaduni, Wanafunzi hasaa wa Primary pamoja na kuwa wanatangaza, mandamano kupita mabarabarani bado wanaabaki peke yao, Hii inaashiria kuwa TRA HAINA MAHUSIANO MEMA NA JAMII YOTE, TRA NA MFANYABIASHARA NI PAKA NA PANYA.....wanadai wanafuata sheria...(rushwa)
 
Back
Top Bottom