Napendekeza sare za watumishi wa umma kama ifuatavyo

Napendekeza sare za watumishi wa umma kama ifuatavyo

Wenyeviti na watendaji wa kata wote Kaunda suti za ugolo
 
1.Kada ya Ualimu-wavae mashati yenye vufungo mabegani vion meupe yeshe madaraja yao kama vile grade A,AEO iii,EOii,EOi,PEOi,PEOii etc.chini wavaa rangi blue iliyokolea.
2.Wahasibu wote wavae mashati meupe na chini nyeusi mabegani wawekewe kama vifungo na kupewa vyeo kulingana na bodi ya uhasibu tz mfano CPA,Ai-v ,OA, etc
3.Wanasheria mashati meupe na tai nyekundu chini nyeusi,
4.Afisa nyuki,kilimo,uvuvi, wavae maovaroli ya bluu
Mapendekezo yataendelea

Haina maana yoyote, haina tija yoyote, haiwez kuifanya Tanzania kuwa na uchumi wa kati, haiwez kuboresha huduma za jamii. Kuna mawazo mengine hayana msingi, bali yataungwa mkono kiushabiki. Nani alikuambia kuvaa hizo nguo zinaongeza kukua kwa uchumi na kuboreka kwa huduma za jamii? Kwani vitambulisho havitoshi?

Tunapenda kushabikia vitu vyepesi wakati yapo mambo makubwa ambayo kama Taifa tukikubaliana kwa pamoja yana TIJA kubwa kuliko haya mambo mafogo. We have to think globally, in a wide spectrum!
 
  1. kada ya ualimu-wavae mashati yenye vifungo mabegani vion meupe yaonyeshe madaraja yao kama vile grade a,aeo iii,eoii,eoi,peoi,peoii etc. Chini wavaa rangi blue iliyokolea.
  2. wahasibu wote wavae mashati meupe na chini nyeusi mabegani wawekewe kama vifungo na kupewa vyeo kulingana na bodi ya uhasibu tanzania mfano cpa,ai-v ,oa, etc
  3. wanasheria mashati meupe na tai nyekundu chini nyeusi,
  4. afisa nyuki, kilimo, uvuvi, wavae maovaroli ya bluu

mapendekezo yataendelea
huo utakuwa ni ubaguzi mkubwa sasa, sipati picha maafsa kilimo pale temeke wawe wamepiga overall
 
Hiyo sera hata ikipita sivai sare! Labda niitunzie kazin nikifika nabadilishia kule
 
Haina maana yoyote, haina tija yoyote, haiwez kuifanya Tanzania kuwa na uchumi wa kati, haiwez kuboresha huduma za jamii. Kuna mawazo mengine hayana msingi, bali yataungwa mkono kiushabiki. Nani alikuambia kuvaa hizo nguo zinaongeza kukua kwa uchumi na kuboreka kwa huduma za jamii? Kwani vitambulisho havitoshi?

Tunapenda kushabikia vitu vyepesi wakati yapo mambo makubwa ambayo kama Taifa tukikubaliana kwa pamoja yana TIJA kubwa kuliko haya mambo mafogo. We have to think globally, in a wide spectrum!

Mkuu vp ww upo upande gani hapo,
 
Back
Top Bottom