Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,206
- 18,549
Ivi mahakama kwanini imemkatalia shangazi kutusemea wananchi mil 55.
Shangazi anzisha kitu tutakuja utuamlie kesi zetu maana hawa wengine naona damu yao imeelekea kijani zaidi.
Kutakua.na mihimili 4.
Serikali
Mahakama
Bunge
Shangazi.
Wale wanao tafuta ajira, muhimili wa 4 unakuja.. au tayari upo?
Usikute mahakama imesha kwapuliwa kama channel 100.
Sent using Jamii Forums mobile app
Shangazi anzisha kitu tutakuja utuamlie kesi zetu maana hawa wengine naona damu yao imeelekea kijani zaidi.
Kutakua.na mihimili 4.
Serikali
Mahakama
Bunge
Shangazi.
Wale wanao tafuta ajira, muhimili wa 4 unakuja.. au tayari upo?
Usikute mahakama imesha kwapuliwa kama channel 100.
Sent using Jamii Forums mobile app