Napendekeza ‘smart tyre valve cap’, tairi ikipungua upepo basi taa ya ‘alert’ kama ile ya pembe tatu na alama ya mshangao iwake, kumaanisha hatari

Napendekeza ‘smart tyre valve cap’, tairi ikipungua upepo basi taa ya ‘alert’ kama ile ya pembe tatu na alama ya mshangao iwake, kumaanisha hatari

FRANCIS DA DON

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2013
Posts
38,920
Reaction score
44,970
Hakuna sababu kwanini mtu apate ajali au tairi ivimbe au ‘Rim’ ipinde au tairi lichanike au mafutayaende kwa wingi kisa tu presha ya upepo kwenye tairi ilikuwa ndogo.

Napendekeza kifungwe kufuniko cha valve ya tairi chenye ‘bluetooth’ ndani yake, ambapo tairi likipungia upepo tu, sensa ndani ya kifuniko itume taarifa kwenye computer ya gari, na taa ya hatari iwake kwenyebdashboard papo hapo, au laa kiwe kinapoga alarm chenyewe kama alarm ya luku ikikaribia kuisha. Au mnaonaje?
 
Hakuna sababu kwanini mtu apate ajali au tairi ivimbe au ‘Rim’ ipinde au tairi lichanike au mafutayaende kwa wingi kisa tu presha ya upepo kwenye tairi ilikuwa ndogo.

Napendekeza kifungwe kufuniko cha valve ya tairi chenye ‘bluetooth’ ndani yake, ambapo tairi ilipungua upepo tu, sensa ndani ya kifuniko itume taarifa kwenye computer ya gari, na taa ya hatari iwake papo hapo, au laa kiwe kinapoga alarm chenyewe kama alarm ya luku ikikaribia kuisha. Au mnaonaje?
Hili ni Bonge la Idea Mkuuu, Tafuta Mchina Mmoja mpe Idea, atatengeneza hii kitu na utapiga pesa ingawa kuna pesa itakutoka kufanikisha. Ingawa yapo baaadhi ya Magari ya Europe taaa ya Upepo ipo kwa Dashboard kam ilivyo kwa Oil nk
 
Tayari ipo hiyo kitu mkuu hasa kwenye gari za Jeep grande cherokee kuna pressure sensor kwenye valve za upepo ukipungua inaleta taarifa katika dashboard.
 
Tayari ipo hiyo kitu mkuu hasa kwenye gari za Jeep grande cherokee kuna pressure sensor kwenye valve za upepo ukipungua inaleta taarifa katika dashboard.
Aisee, kumbe bado si tuko nyuma sana
 
Raha ya JF of GT's ni ujanja wa Sinza, mtu ana kiona kitu ama mtandaoni kisha anakimbilia simu yake na kuandika akijifanya kitu busika hakipo duniani ila yeye amebuni!
Hii kitu ipo mpaka kwenye malori hapa Tanzania.
Hahaha, mi sijawahi kuona hicho kitu, sio kwenye lorry, suo basi wala sio gari, 😂😂😂, maana kama kipo mbona mnakijua nyinyi tu, si kingeonekana 😃😃
 
Nilishakuambiaga wee inabidi unitafute tukae chini,tuone namna ya kuuza idea
Hakuna cha bure dunia ya leo

Ova
 
Wazo zuri, ila wanaotembelea rim kazi watakua nayo, king'ora mwanzo mwisho kama wanawahisha mgonjwa...
 
Kuna sister wangu ana kagari kake. Upepo ukipungua kwenye tairi kuna alert inakuja. Akiipuuzia gari haifiki mbali inazima. Ilimsumbua sana sababu alarm yenyewe ni ya jumla, haikwambii spesific issue. Basi akapata mjanja mmoja akamwambia upepo hauja-balance kwenye matairi. Alivyoongeza upepo na tatizo likaisha hapohapo.
Kwahiyo mkuu hiyo sytem ipo. Tena kagari kenyewe kazamani.
Na siyo upepo ukipungua tu. Hata ukizidisha upepo gari inagoma. Coz ukizidi ndiyo hatari zaidi. Unaweza ukashindwa kuidhibiti gari katika mwendo kasi.
 
Haya mambo ya kupima upepo kila mara yanatakiwa yapitwe na wakati.
Mbona pressure valve zipo mda sana, huna sababu ya kupima upepo kila mara, tena hata kama gari yako haina hiyo tech, bado unaweza kufunga ki knob kwenye valve pale kinakuonyesha green, yellow na red.
 
Kwa gari za kizamani unaweza kufunga hata hiyo
Screenshot_20220627-152051_KiKUU.jpg
 
Hakuna sababu kwanini mtu apate ajali au tairi ivimbe au ‘Rim’ ipinde au tairi lichanike au mafutayaende kwa wingi kisa tu presha ya upepo kwenye tairi ilikuwa ndogo.

Napendekeza kifungwe kufuniko cha valve ya tairi chenye ‘bluetooth’ ndani yake, ambapo tairi likipungia upepo tu, sensa ndani ya kifuniko itume taarifa kwenye computer ya gari, na taa ya hatari iwake kwenyebdashboard papo hapo, au laa kiwe kinapoga alarm chenyewe kama alarm ya luku ikikaribia kuisha. Au mnaonaje?

Dah! Itakua unaendesha gari za zamani kitambo hata kwa bongo….mbona hiyo kitu ipo kabisa na hata kama gari haina unaeza jiongeza kuweka
 
Hakuna sababu kwanini mtu apate ajali au tairi ivimbe au ‘Rim’ ipinde au tairi lichanike au mafutayaende kwa wingi kisa tu presha ya upepo kwenye tairi ilikuwa ndogo.

Napendekeza kifungwe kufuniko cha valve ya tairi chenye ‘bluetooth’ ndani yake, ambapo tairi likipungia upepo tu, sensa ndani ya kifuniko itume taarifa kwenye computer ya gari, na taa ya hatari iwake kwenyebdashboard papo hapo, au laa kiwe kinapoga alarm chenyewe kama alarm ya luku ikikaribia kuisha. Au mnaonaje?
Wazo zuri lakini in very near future tyre hazitakuwa na upepo tena. Sasa hv watu wanaumiza vichwa waweke sokoni tyre zisizo na upepo. Kinara wa hii technolojia ni Michelin ya Ufaransa


 
Back
Top Bottom