Kinkunti El Perdedo
JF-Expert Member
- Nov 28, 2020
- 5,200
- 12,762
Chuo za kutengeneza sanamu la Chuma [emoji39][emoji39]hili taifa bingwa la kukumbatia watokao majalalani na wanafiki...... hivi kweli university of DSM ni jalalani? Kabudi amedharau taifa nakutufedhehesha.
WAZO ZURI , NA HATA INGELIPATAIKANA ILE KATIBA PENDEKEZWA YA MZEE SINDE WARIOBA. ILIKUWA INAUNAFUU KWA KUNDI HILI LA WALA JASHO LA WATANZANIA BILA TIJA KWA SEHEMU KUBWA.Sioni sababu ya kuwa na wabunge 393 ktk nchi maskini kama hii. Halafu tija yao mm binafsi siioni kabisa japo ni wengi kiasi hicho.
Kwann tusiwe na mbunge mmoja tu toka kila mkoa? Huyu awe anahushuria vikao vya RCC na kupokea mihutasari ya vikao vya madiwani toka halmashauri zote ktk mkoa husika kisha asome na kuyawasilisha mawazo/matatizo hayo bungeni.
Kwahiyo tutakuwa na bunge la watu 46 tu
- 36 toka mikoa 36
- 10 toka kwa rais.
Wabunge hawa wawe na mshahara mnono Kati ya 40M mpk 50M kwa mwezi.
Mawaziri wawe sita tu. Kwasabb napendekeza zibakie wizara sita tu
1. Afya na nini nin ibakie.
2. Tamisemi-- elimu, kilimo, mifugo,uvuvi, michezo, mazingira, habari, n.k
3. Mambo ya nje na ushirikiano wa kikanda.
4. Ulinzi na mambo ya ndani,
5. Fedha, mipango, nishati, madini, viwanda na biashara
6. Sheria, katiba, utawala bora na utumishi wa umma.
Sifa kuu za wabunge.
1. Awe ni mtu aliyeweza kufanya jambo fulani kubwa linalosaidia jamii kubwa ktk mkoa. Mfano kaanzisha kiwanda kikubwa, taasisi, amefanya uvumbuzi mkubwa, anaendesha mashamba makubwa na kutoa ajira kwa watu
2. Awe na elimu ya shahada ama zaidi. Hii itamsaidia kuchambua na kupambanua mambo kwa upana.
Viti maalumu vifutwe kabisa. Vimetuchelewesha sana hivi ndugu zangu (in mwendazake's voice).
Mshahara wa Rais siujui...kwani rais anapokea ngapi na yeye ndio mkuu wa mikoa yote na mawilaya?
X < = 15m inatosha.
Tamisemi mkuuWizara ya maji iwepo category gani afya au ndo tamisemi
Mshahara wa Rais siujui...
acha wehu dai katiba mpyaSioni sababu ya kuwa na wabunge 393 ktk nchi maskini kama hii. Halafu tija yao mm binafsi siioni kabisa japo ni wengi kiasi hicho.
Kwann tusiwe na mbunge mmoja tu toka kila mkoa? Huyu awe anahushuria vikao vya RCC na kupokea mihutasari ya vikao vya madiwani toka halmashauri zote ktk mkoa husika kisha asome na kuyawasilisha mawazo/matatizo hayo bungeni.
Kwahiyo tutakuwa na bunge la watu 46 tu
- 36 toka mikoa 36
- 10 toka kwa rais.
Wabunge hawa wawe na mshahara mnono Kati ya 40M mpk 50M kwa mwezi.
Mawaziri wawe sita tu. Kwasabb napendekeza zibakie wizara sita tu
1. Afya na nini nin ibakie.
2. Tamisemi-- elimu, kilimo, mifugo,uvuvi, michezo, mazingira, habari, n.k
3. Mambo ya nje na ushirikiano wa kikanda.
4. Ulinzi na mambo ya ndani,
5. Fedha, mipango, nishati, madini, viwanda na biashara
6. Sheria, katiba, utawala bora na utumishi wa umma.
Sifa kuu za wabunge.
1. Awe ni mtu aliyeweza kufanya jambo fulani kubwa linalosaidia jamii kubwa ktk mkoa. Mfano kaanzisha kiwanda kikubwa, taasisi, amefanya uvumbuzi mkubwa, anaendesha mashamba makubwa na kutoa ajira kwa watu
2. Awe na elimu ya shahada ama zaidi. Hii itamsaidia kuchambua na kupambanua mambo kwa upana.
Viti maalumu vifutwe kabisa. Vimetuchelewesha sana hivi ndugu zangu (in mwendazake's voice).