Napendekeza uanzishwaji wa mradi wa Kinyerezi V hadi X

Napendekeza uanzishwaji wa mradi wa Kinyerezi V hadi X

FRANCIS DA DON

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2013
Posts
38,920
Reaction score
44,970
Tanzania kwa sasa inamiliki bomba kubwa la kusafirisha gesi asilia toka Mtwara hadi Kinyerezi Dar es salaam ambalo lilijengwa kwa mkopo wa zaidi ya Dollar bilioni 1 toka China.

Kwa taarifa nilizowahi kupata, ni kwamba hadi sasa Bomba hilo tunalitumia kwa chini ya asilimia 6 tu, hivyo bado kuna 94% ya uwezo wake ambao hautumiki hadi sasa.

Kwa kuzingatia tatizo la upatikanaji wa umeme tulionao sasa, napendekeza wakati shughuli za ukamilishaji na /au upanuzi wa Kinyerezi 1 hadi 4 ukiendelea, ianzishwe miradi mingine ya Kinyerezi 5 hadi 10, hii itawezesha kutumia kikamilifu bomba tulilolijenga kwa mkopo na kuondoa adha ya mgao wa umeme tulionao sasa.

This should be a no brainer, hili lifanyike haraka sambamba na kukamilishwa kwa mradi wa Rufiji, ili hata panapokua na upungufu wa mvua na mabwawa hayana maji, bado tunakua na back up ya kutosha ya umeme wa gesi.

Nakaribisha maoni.

===========================
 
Akili hizo wanazo wazungu tu,sie waafrica bado sana
 
Inabidi uombe kwanza msamaha kwa kushangilia wakati bomba kutelekezwa na kusemwa gesi wamejimilikisha mabeberu, ili tu stigila ivume.
Tanzania kwa sasa inamiliki bomba kubwa la kusafirisha gesi asilia toka Mtwara hadi Kinyerezi Dar es salaam ambalo lilijengwa kwa mkopo wa zaidi ya Dollar bilioni 1 toka China.

Kwa taarifa nilizowahi kupata, ni kwamba hadi sasa Bomba hilo tunalitumia kwa chini ya asilimia 6 tu, hivyo bado kuna 94% ya uwezo wake ambao hautumiki hadi sasa.

Kwa kuzingatia tatizo la upatikanaji wa umeme tulionao sasa, napendekeza wakati shughuli za ukamilishaji na /au upanuzi wa Kinyerezi 1 hadi 4 ukiendelea, ianzishwe miradi mingine ya Kinyerezi 5 hadi 10, hii itawezesha kutumia kikamilifu bomba tulilolijenga kwa mkopo na kuondoa adha ya mgao wa umeme tulionao sasa.

This should be a no brainer, hili lifanyike haraka sambamba na kukamilishwa kwa mradi wa Rufiji, ili hata panapokua na upungufu wa mvua na mabwawa hayana maji, bado tunakua na back up ya kutosha ya umeme wa gesi.

Nakaribisha maoni.
 
Inawezekana ikawa ndiyo mwarubaini wa shida ndogondogo kama umeme na hata majumbani ila tu tusipigwe parefu bado ninayo imani itakuwa tu.
 
Inabidi uombe kwanza msamaha kwa kushangilia wakati bomba kutelekezwa na kusemwa gesi wamejimilikisha mabeberu, ili tu stigila ivume.
Niombe msamaha? Vyanzo mtambuka vya umeme ni jambo la msingi, umeme wa maji ni wa gharama nafuu, lakini ili kujihakikishia usalama ndio maana kuna vyanzo mbadala kama gesi, vyote viendelezwe kwa mapana
 
Inawezekana ikawa ndiyo mwarubaini wa shida ndogondogo kama umeme na hata majumbani ila tu tusipigwe parefu bado ninayo imani itakuwa tu.
Hii itatupa uhakika wa umeme, maana bomba lipo na gesi ipo
 
 
Tanzania kwa sasa inamiliki bomba kubwa la kusafirisha gesi asilia toka Mtwara hadi Kinyerezi Dar es salaam ambalo lilijengwa kwa mkopo wa zaidi ya Dollar bilioni 1 toka China.

Kwa taarifa nilizowahi kupata, ni kwamba hadi sasa Bomba hilo tunalitumia kwa chini ya asilimia 6 tu, hivyo bado kuna 94% ya uwezo wake ambao hautumiki hadi sasa.

Kwa kuzingatia tatizo la upatikanaji wa umeme tulionao sasa, napendekeza wakati shughuli za ukamilishaji na /au upanuzi wa Kinyerezi 1 hadi 4 ukiendelea, ianzishwe miradi mingine ya Kinyerezi 5 hadi 10, hii itawezesha kutumia kikamilifu bomba tulilolijenga kwa mkopo na kuondoa adha ya mgao wa umeme tulionao sasa.

This should be a no brainer, hili lifanyike haraka sambamba na kukamilishwa kwa mradi wa Rufiji, ili hata panapokua na upungufu wa mvua na mabwawa hayana maji, bado tunakua na back up ya kutosha ya umeme wa gesi.

Nakaribisha maoni.

===========================
Usalama ukoje kuhusu kuweka mitambo yote Kinyerezi?
 
Tanzania kwa sasa inamiliki bomba kubwa la kusafirisha gesi asilia toka Mtwara hadi Kinyerezi Dar es salaam ambalo lilijengwa kwa mkopo wa zaidi ya Dollar bilioni 1 toka China.

Kwa taarifa nilizowahi kupata, ni kwamba hadi sasa Bomba hilo tunalitumia kwa chini ya asilimia 6 tu, hivyo bado kuna 94% ya uwezo wake ambao hautumiki hadi sasa.

Kwa kuzingatia tatizo la upatikanaji wa umeme tulionao sasa, napendekeza wakati shughuli za ukamilishaji na /au upanuzi wa Kinyerezi 1 hadi 4 ukiendelea, ianzishwe miradi mingine ya Kinyerezi 5 hadi 10, hii itawezesha kutumia kikamilifu bomba tulilolijenga kwa mkopo na kuondoa adha ya mgao wa umeme tulionao sasa.

This should be a no brainer, hili lifanyike haraka sambamba na kukamilishwa kwa mradi wa Rufiji, ili hata panapokua na upungufu wa mvua na mabwawa hayana maji, bado tunakua na back up ya kutosha ya umeme wa gesi.

Nakaribisha maoni.

===========================

Napendekeza huu umeme wazalishie huko Mtwara na Lindi. Dar uletwe umeme tu kupunguza joto Dsm
 
Back
Top Bottom