FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Painuliwe juu vizuri, pawekwe level, pachimbwe mitaro mipana iliyoenda chini vya kutosha na ijengewe vizuri (water drainage canals).
Padizainiwe garden moja kali sana, yawekwe mabenchi ya zege mazuri kabisa, watu wawe wanapunga upepo na kufanya picnic.
______________________________
=============================
Update:18/11/2019
Katika mkutano na viongozi wa dini JNICC RC Makonda kasema atajenga garden katika viwanja vya jangwani.
================================
Update: 16/11/2020
www.jamiiforums.com
=============================
Update: 21/06/2021
Naona vijiko vinachimba mitaro mikubwa kama mto Rufiji, Bigup!!
===============================
Update: 11/08/2021
Naona idea imeanza kuwa implemented na bonde la Mkwajuni. Big up!!
==========================
Update: 16/01/2023
Ujenzi wa hii City Garden kuanza February 2023 (Mwaka huu), safi sana!
========================
Update: 06/05/2023
========================
Update: 31/01/2025
View: https://www.instagram.com/p/DFdEoG0ibaB/?igsh=YnNsZzd0MmthNG9x
Padizainiwe garden moja kali sana, yawekwe mabenchi ya zege mazuri kabisa, watu wawe wanapunga upepo na kufanya picnic.
______________________________
=============================
Update:18/11/2019
Katika mkutano na viongozi wa dini JNICC RC Makonda kasema atajenga garden katika viwanja vya jangwani.
================================
Update: 16/11/2020
Mchakato ujenzi barabara ya juu Jangwani waanza
Meneja wa Wakala wa Mkoa wa Dar es Salaam, Ngusa Julius, alibainisha kuanza kwa mradi jana alipozungumza na Nipashe kuhusu suluhisho la adha inayoendelea kuwatesa watumiaji wa barabara hiyo hasa mvua inaponyesha kwa wingi na kusababisha Mto Msimbazi kukata mawasiliano ya barabara. “Kuna...
Update: 21/06/2021
Naona vijiko vinachimba mitaro mikubwa kama mto Rufiji, Bigup!!
===============================
Update: 11/08/2021
Naona idea imeanza kuwa implemented na bonde la Mkwajuni. Big up!!
==========================
Update: 16/01/2023
Ujenzi wa hii City Garden kuanza February 2023 (Mwaka huu), safi sana!
========================
Update: 06/05/2023
========================
Update: 31/01/2025
View: https://www.instagram.com/p/DFdEoG0ibaB/?igsh=YnNsZzd0MmthNG9x