Napendekeza Uongozi Uachane Na Wachezaji Hawa Wawili Wa Kigeni Kikosini Yanga SC.

Napendekeza Uongozi Uachane Na Wachezaji Hawa Wawili Wa Kigeni Kikosini Yanga SC.

Chico Ushindi anaelekea Al Hilal Sudan na Yacouba anatolewa mkopo kama haitabadilika itakuwa ni Geita Gold. Kwa Yacouba kutolewa kwa mkopo ni sawa ili Yanga ijiridhishe kama atakuwa amepona kabisa na vile vile apate mechi "fitness" kwa kucheza mara kwa mara akiwa timu ndogo. Kumbuka kuwa akibaki Yanga hatapata nafasi ya kucheza mara kwa mara kwa hiyo ni vigumu sana kurudisha kiwango chake kwa muda mfupi. Na Yanga kumtoa kwa mkopo ni faida kwao kwani wanaweza kumrudisha wakati wa dirisha dogo iwapo atakuwa ameimarika kifya na kiwango kimerudi na hasa iwapo kutakuwa na mchezaji wa kigeni aliyeshuka kiwango kuelekea dirisha dogo.

Yacouba awezi kosa nafasi mara kwa mara kwani Wakili Msomi na yeye wanafanana uwezo.
 
Yacouba hawezi toka kabisaaa.

Ni vizuri AZIZ KI ametusaidia kusisitiza.

Maana hakuna anayependa Yacouba Sogne aondoke.

He is a fans’ favourite player since his days with Kaseke.
 
Labda awe hajapona ila hizo zitabaki kuwa tetesi.

Kwa mchezaji mkubwa kiasi kile hawezi kubali kwenda Geita Gold FC
Kumbuka Geita Gold wanacheza shirikisho hivyo kwenda kwa mkopo Yacouba ni moja ta advantage kuonekana kimataifa na itampa match fitness maana namini hatapigwa benchi kwa uwezo alionao.
 
Ni vizuri AZIZ KI ametusaidia kusisitiza.

Maana hakuna anayependa Yacouba Sogne aondoke.

He is a fans’ favourite player since his days with Kaseke.
Yeaaaaah yule hatoki, yuko na rafiki ake pale.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] DOMOLEPE
 
Back
Top Bottom