BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,767
- 23,198
habari zenu wapendwa nadhani mlisoma story yangu yote na mume wangu haya sasa imefikia siku tena huyu bwana kanitafutia sababu eti hawezi kuishi na mimi kisa alinipiga wakati na mimba miezi nane nikaenda polisi lakini hakutiwa mbaroni leo ananitolea sababu hiyo kama umenivunja moyo sina mapenzi tena na wewe kisa hiyo sababu ya kwenda polisi watoto anataka kuwachukua anasubiri mtoto wangu wa miezi minne awe miezi 10 ndo anipe hiyo talaka,sasa jana binamu yake kaniambia kama huyu bwana anataka kuoa ndo mana wewe anakutafutia sababu dah roho inaniuma sana nimeteseka miaka sita hamna mapenzi nimechuma nae alikuwa maskini leo katajirika sasa anaenda kumuoa malaya anaedance clubs jamani naomba mnishauri niende wapi serekalini anipe jasho langu na hawa watoto pia nipate mimi na pia nataka huyu mtu atolewe kabisa hapa dar asiishi tena yani nimkomoe haswa kanitesa sana nimehangaika sana nae mpaka leo ana uwezo naomba mnisaidie dada judith upo
<br /><font size="4"><i>Mwanamke mwenye uwezo wa kuingia huku JF na kuchangia michango kupewa talaka si kuonewa lazima utakuwa umeshindikana. Wa kuonewa huruma ni wale wamama wa nyumbani wasiojua hili wala lile zaidi ya kuhudumia familia yake siku 365 bila kuchoka</i></font>
Pole unlucky, na majina mengine haya huwa mabaya sana , embu funga ID hii hili jina linakuchulia, kuna dada mmoja aliitwa taabu na aliteseka maisha yake yooote katika simulizi zake,kwa ulivosimulia hapo hakuna mapenzi hata kidogo, naona hakuna haja ya kung'ang'ania saaana, kuna maisha mazuri zaidi ya hayo, usitolee macho mali ambazo zinakutesa kisaikolojia, japo pia unaweza pigania ukapata haki yako kiasi, nina imani una kibalua chochote, jiweke bize sana jichanganye na marafiki mu ignore huyo jamaa kw muda
asanteni na hili jina nilijipa mda sana wakati yote yalinitokea nimevumilia mengi mpaka malaya zake wamnitukana lakini bado nimestahamili yote mpaka leo hii sina chochote kaniweka ndani tu ananipa hizo hela kidogo tu za mimi kununua vitu vyangu kama sabuni n.k pamoja na pampers za watoto mpaka leo hii sina akiba yoyote naomba mniambie hiyo talwa iko sehemu gani na je watanisaidia siyo kunizungusha ne je hawatataka pesa,huyu bwana ana pesa sana je nikifight nae na akaja kuwapa rushwa hao watu si watanigeuzia kibao ? Halafu huyu bwana ni foregner anaishi kwa permit hapa je nikienda imgration office itakuwa sawa?na talaka nataka nipate je niende wapi?
<br />na pia wapendwa mie sina kazi yoyote na hata nikifanya kazi wanangu watalelewa na nani mama mzee hawezi na pia kweli mie nataka kumwachia mungu yote anayofanya mungu atalipa sitaki kushindana nae wala kufight nae ila anipe talaka yangu na pesa za kuwalea wanangu na kuanza maisha mengine manake huyu bwana anataka nitoke lakini talaka asinipe yani mie niishi kivyangu yani anataka mie nisiendelee mbele azidi kuninyanyasa na nisiolewe tena anataka kunikomoa mara ngapi ananiambia we toka talaka yako utaletewa lakini anakuwa haleti naomba mnisaidie yani kwa kweli natamani hata kumuua huyu
<br /><font size="4"><i>Mwanamke mwenye uwezo wa kuingia huku JF na kuchangia michango kupewa talaka si kuonewa lazima utakuwa umeshindikana. Wa kuonewa huruma ni wale wamama wa nyumbani wasiojua hili wala lile zaidi ya kuhudumia familia yake siku 365 bila kuchoka</i></font>
Dah!! Watu wengine bana....<font size="4"><i>Mwanamke mwenye uwezo wa kuingia huku JF na kuchangia michango kupewa talaka si kuonewa lazima utakuwa umeshindikana. Wa kuonewa huruma ni wale wamama wa nyumbani wasiojua hili wala lile zaidi ya kuhudumia familia yake siku 365 bila kuchoka</i></font>
Mbona unamshambulia sana huyu dada? Unasemaje kuhusu mambo anayofanyiwa na mumewe?<font size="4"><i>Wanawake ambao wanafikiria zaidi mambo ya kisheria kuolewa kwao kulivutwa na "material things" na hivyo anataka kugawia utajiri wa mumewe. Mimi nilifikiri kama kweli ulipenda kuolewa bila kusukumwa na kitu chochote linapotokea tatizo kwenye ndoa shauri litapelekwa kwa msimamizi wa ndoa, baadaye kwa wazazi. Huwezi kufikiria maswala ya kisheria wakati bado mnaishi nyumba moja. </i></font>
<br />Dah!! Watu wengine bana....