Napewa talaka mie unlucky

wengi jamaa wananiambia wanipeleke kwa mganga arogwe niokoe ndoa yangu mie siamini vitu hivi hapa dar hamna mganga na kama yupo mbona tunataabika

kama umefikia kuwaza huko ni umasikini wa fikra dada yangu kaa chini ujipange .. kusanya maoni ya watu yatakusaidia kufunguka katika maamuzi sahihi
 
hawezi kukunyangnya mali zote pigania haki yako waone TAWLA watakusaidia sana tena inwezekana huyu mmeo akabaki hana kitu kabisa.pigana mama usikate tamaa.
 
Heshima kwako MAMMAMIA.

Mkuu mwanaume hana haki ya kumpiga mwanamke wala mwanaume mwenzake.Sheria ziko wazi kabisa lakini yapo mazingira yanaweza kukulazimisha kumpiga mtu awe mwanamke au mwanaume.


Mkuu, unataka kusema mwanamume ana haki ya kumpiga mke wake? Hivi tunaishi katika karne gani?
Hata kama Unlucky ana makosa na ukorofi, mume hana haki ya kumpiga, hana haki.
 
hawezi kukunyangnya mali zote pigania haki yako waone TAWLA watakusaidia sana tena inwezekana huyu mmeo akabaki hana kitu kabisa.pigana mama usikate tamaa.

hakuna haja ya TAWLA tafuta mwanasheria ongea nae sheria ziko wazi
 
jamani wanawake,waheshimuni waume zenu,wasilikilizeni wanachotaka,musiwaletee jeuri na Mujitunze pia.maisha ya ndoa ni tofauti na maisha ya girlfriend na boyfriend.siku zote tambua baba ndo kichwa cha nyumba so make sure humkeli.mia
 
FirstLady1 kumpeleka mtu polisi ni visababu !!!!!!!!!!!.Mshaurini mwanamke mwenzeni aombe radhi ya mumewe haraka hata ingekuwa mimi Mke wangu akinipeleka polisi ndiyo mwisho wa ndoa yetu mchana kweupe wala pasingekuwa na haja ya kupeana miezi miwil mitatu.


 

kwanza ni vyema kuangalia madhara ila kama madhar hayakutokea kinachofuaa ni kutatua tatizon ...imagene utaacgana na huyo bwana naamini hutakaa aidle lazima utaingi kwenye mahusiano je nini mwisho wake??????????
 

Mhh Carmel, mbona kama unataka ajilipue... naona kama kuna muda hapo wamekubaliana mpaka miezi kumi mtoto akue, kwanini asiangalie namna ya kutatua huu mgogoro kwa kipindi hiki, kabla ya kuagiza fuso na kuiba hati? hatari sana ushauri wako...
 
Mhh Carmel, mbona kama unataka ajilipue... naona kama kuna muda hapo wamekubaliana mpaka miezi kumi mtoto akue, kwanini asiangalie namna ya kutatua huu mgogoro kwa kipindi hiki, kabla ya kuagiza fuso na kuiba hati? hatari sana ushauri wako...

ila kuachana na mme au mke unaweza pelkea kubadili wanaume au wanawake trofauti
 
<br />
<br />
pole huyo siyo mrundi kweli?Mme wangu mhutu wa burundi sema YESU amesaidia otherwise ni karaha hawa watu.HAWANA HURUMA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…