Eeka Mangi
JF-Expert Member
- Jul 27, 2008
- 3,173
- 482
Hello JF
Kuna zawadi nazawadiwa ila kiukweli duh! Kuan jamaa yangu aliwahi kuachwa na mke! By that time jamaa laikuwa mgonjwa wa vidonda vya tumbo. Wakati anaachwa walikuwa na mtoto mmoja wa kike. Jamaa aliteseka sana mwisho akaja nyumbani kwetu (meaning mimi na mke wangu) akiwa na mtoto wake wa kike. Tukaongea tukanywa na kula. Huku nje mtoto kakutana na binti yetu wakacheza mpaka wakachoka mwisho msaidizi wetu akawaogesha wakalala. Baba mtu akawa anaaga lakini mtoto akawa kesha lala. Tukamwambia wacha alale tu tutampeleka kesho yake.
Mtoto kuamka kesho yake tukapanga kumpeleka kwao, kilio alichoangua Mungu ndo anajua. Ikabidi tumwache na kumweleza baba yake. Mwisho tukakubaliana wacha tuishi naye. Mwaka mmoja baadaye baba wa huyu mtoto alifariki na tukamzika. Wakati anafariki mtoto alikwa na miaka 6. Tukaangalia ni nani wakukaa na huyu mtoto! Hatukuona ni busara kumwacha na bibi mzaa baba yake kwa kuwa alikuwa mzee sana. Shangazi mtu alikuwa kama naye anaona kinyaa vile kukaa na huyu mtoto maana walivumisha kuwa wazazi wake wana ukimwi. Ilibidi tukae na mtoto. Tangu wakati huo nimeishi naye na pia kusimamia mali za huyu mtoto baada ya ndugu wa karibu kuniruhusu kuishi na kusimamia hizo mali. Nimemsomesha huyu mtoto hadi kufikia level ya university. Mbaya zaidi bila hata kunishirikisha yeye na binti yangu wameamua kubadilisha u-bin na sasa anatumia wa kwangu. Kwake yeye ni baba yake wa kumzaa haambiwi kitu. Niko katika hatua za kummilikisha nyumba za baba yake kwa sasa maana na mimi sijui siku wala saa ingawa yeye hataki na anasema mali zote ni za familia! Meaning kuwa yeye ni familia yangu hivyo chochote kilichopo kitatunzwa na familia.
Story inaanzia hapa, last week alitokea dada mmoja na kujieleza kwangu yeye alikuwa mke wa marehemu yule rafiki yangu na alikuwa nje ya nchi kwa kipindi kirefu akifanya kazi umoja wa mataifa. Ametafuta where about her husband na akaelezwa the whole thing. Pia amemtafuta binti yake naye kamwona. Anadai kuwa binti kamkana na wala hataki kumwona kabisa. Kaamua kuja kwangu ili nimsaidie kumuunganisha na binti yake. Jana nimempigia simu huyu binti! Jibu alonipa ni kuwa naquote "BABA KAMA UNATAKA KUNIONA BASI USINAAMBIE TENA HABARI ZA HUYO MAMA LASIVYO HUTAKAA UUONE HATA MFUPA WANGU!". Kusema ukweli niliogopa sana. Nikampigia mama yake na huyu binti ankanambia yuko hotelini alikofikia. Nikaenda hapo hotelini, kufika kaunta nikamuulizia nikaambiwa aaaaaaaaah kumbe ndo wewe kasema yuko no fulani ukija umwone. Infact I didnt even think what she is planning nikaenda kwenye room yake. Nikagonga mlango kwa upole tu akauliza nani? Nikamtajia jina, mlango ukafunguliwa! Ooooooh my God nilichokutana nacho! A naked woman standing infront of my face! eti welcome dear I just want give you a special gift for growing my girl to that level! Phweeeeeeeeeeeee! Niligeuka nikaondoka bila kusema neno. Sasa najiuliza na hii ndo zawadi?
Kuna zawadi nazawadiwa ila kiukweli duh! Kuan jamaa yangu aliwahi kuachwa na mke! By that time jamaa laikuwa mgonjwa wa vidonda vya tumbo. Wakati anaachwa walikuwa na mtoto mmoja wa kike. Jamaa aliteseka sana mwisho akaja nyumbani kwetu (meaning mimi na mke wangu) akiwa na mtoto wake wa kike. Tukaongea tukanywa na kula. Huku nje mtoto kakutana na binti yetu wakacheza mpaka wakachoka mwisho msaidizi wetu akawaogesha wakalala. Baba mtu akawa anaaga lakini mtoto akawa kesha lala. Tukamwambia wacha alale tu tutampeleka kesho yake.
Mtoto kuamka kesho yake tukapanga kumpeleka kwao, kilio alichoangua Mungu ndo anajua. Ikabidi tumwache na kumweleza baba yake. Mwisho tukakubaliana wacha tuishi naye. Mwaka mmoja baadaye baba wa huyu mtoto alifariki na tukamzika. Wakati anafariki mtoto alikwa na miaka 6. Tukaangalia ni nani wakukaa na huyu mtoto! Hatukuona ni busara kumwacha na bibi mzaa baba yake kwa kuwa alikuwa mzee sana. Shangazi mtu alikuwa kama naye anaona kinyaa vile kukaa na huyu mtoto maana walivumisha kuwa wazazi wake wana ukimwi. Ilibidi tukae na mtoto. Tangu wakati huo nimeishi naye na pia kusimamia mali za huyu mtoto baada ya ndugu wa karibu kuniruhusu kuishi na kusimamia hizo mali. Nimemsomesha huyu mtoto hadi kufikia level ya university. Mbaya zaidi bila hata kunishirikisha yeye na binti yangu wameamua kubadilisha u-bin na sasa anatumia wa kwangu. Kwake yeye ni baba yake wa kumzaa haambiwi kitu. Niko katika hatua za kummilikisha nyumba za baba yake kwa sasa maana na mimi sijui siku wala saa ingawa yeye hataki na anasema mali zote ni za familia! Meaning kuwa yeye ni familia yangu hivyo chochote kilichopo kitatunzwa na familia.
Story inaanzia hapa, last week alitokea dada mmoja na kujieleza kwangu yeye alikuwa mke wa marehemu yule rafiki yangu na alikuwa nje ya nchi kwa kipindi kirefu akifanya kazi umoja wa mataifa. Ametafuta where about her husband na akaelezwa the whole thing. Pia amemtafuta binti yake naye kamwona. Anadai kuwa binti kamkana na wala hataki kumwona kabisa. Kaamua kuja kwangu ili nimsaidie kumuunganisha na binti yake. Jana nimempigia simu huyu binti! Jibu alonipa ni kuwa naquote "BABA KAMA UNATAKA KUNIONA BASI USINAAMBIE TENA HABARI ZA HUYO MAMA LASIVYO HUTAKAA UUONE HATA MFUPA WANGU!". Kusema ukweli niliogopa sana. Nikampigia mama yake na huyu binti ankanambia yuko hotelini alikofikia. Nikaenda hapo hotelini, kufika kaunta nikamuulizia nikaambiwa aaaaaaaaah kumbe ndo wewe kasema yuko no fulani ukija umwone. Infact I didnt even think what she is planning nikaenda kwenye room yake. Nikagonga mlango kwa upole tu akauliza nani? Nikamtajia jina, mlango ukafunguliwa! Ooooooh my God nilichokutana nacho! A naked woman standing infront of my face! eti welcome dear I just want give you a special gift for growing my girl to that level! Phweeeeeeeeeeeee! Niligeuka nikaondoka bila kusema neno. Sasa najiuliza na hii ndo zawadi?