Elections 2010 Napigiwa kura leo!

Joined
Feb 3, 2010
Posts
19
Reaction score
0
Waheshimiwa wana wa nchi! nilipoandika jina langu Diwani maana yangu ilikuwa ni maandalizi ya kugombea udiwani katika kata moja iliyopo mkoani Tabora na sasa nimetoka kukagua vituo vyote naona mambo yanaenda sawa. Naomba Dua na sala zenu inshalla nitawajulisha jioni uwezekano wangu wa kushinda ni kati ya % 65 hadi %72
 
Tukuombee ushinde au ushindwe ?
Tupe kilichokusukuma kutaka udiwani na itikadi zako tujue tuombe lipi,la ww kushinda ama kushindwa.
Hope your in good side,I pray so.
 
Mutu! Niombee nishinde!

Kilichonituma kugombea ni kutumia haki yangu ya msingi ya kuchagua na kuchaguliwa na zaidi ni kushiriki katika jamii kuleta changamoto kama kijana ya kuleta maendeleo katika kata. Mwisho ni kuhakikisha naisimamia na kuitekeleza ilani ya uchaguzi ya CCM ya mwaka 2010-2015.

Nagombea kupia CCM na ndg SELOUS mimi sipo kundi lolote ila nipo kundi la CCM.

Once again naomba sala na dua zenu.

Bye for now!

Nitarudi jamvini kati ya saa 12 jioni na saa moja.
 
Kata yako ipo kwenye jimbo gani?usisahau kutueleza yatakayojiri hata kama yatakuwa ni mabaya kwako, aliye bora na ashinde.
 
chichiem huyu!!sijui anatafuta nini huko!na ushindwe kabisa!
 

MZEe KWA NN UOMBEWE?, KAMA SERA ZAKO ZIMEELEWEKA NA WATU WAKAKUKUBALI KWA NINI USICHAGULIWE HAYA SIO MAMBO YA KUOMBA,
 
Mimi nakuombea upite mchujo huu wa CCM, lakini nadhani October ndo itakuwa mwisho wa safari yako kwani kuna kijana machachari wa CHADEMA anagombea pia kata hiyo (kama ni kweli ya huyo ndg. Selous) na kwa vyovyote vile atapita tu. Halafu kumbe hapa JF unatumia jina hili !!
 
Mzee wetu Diwani ulituahidi utarudi kama Yesu alivyotuahidi hatujasahau ahadi ni deni, mambo yakoje huko, samahani lakini kwa kukuamusha najua una machungu na uchovu wa kampeni.
 
Mzee wetu Diwani ulituahidi utarudi kama Yesu alivyotuahaidi hatujasahau ahadi ni deni, mambo yakoje huko, samahani lakini kwa kukuamusha najua una machungu na uchovu wa uchaguzi.
Ha ha ha... Nahisi hali mbaya lol
 
Msikimbie tu akirudi na ushindi wa kimbunga.
 
Waheshimiwa, nilikuwa nakusanya matokeo ya wabunge kibaya zaidi Internet cafe zilipo jirani zinafungwa saa 2.00 usiku. matokeo ni mazuri sana nimeshinda kwa kishindo nasubiri vikao vya uteuzi kwa mujibu wa taratibu zetu za CCM! anayenifuata kwa matokeo nimemzidi kura 320 so its over
 
Pilipili usiohila inakuwashia nini?

unajuaje siili? kwanza we are all suffering from the works of chichiem, leo unaniambia upumbavu wako hapa wa pilipili?toa ufala we!!of course this concerns me!mpumbavu kabisa we!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…