Napigwa hapa au? Mafuta ya "Sunscreen SPF 30" yanauzwa Bei ghali hivi?

Napigwa hapa au? Mafuta ya "Sunscreen SPF 30" yanauzwa Bei ghali hivi?

Mad Max

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2010
Posts
26,961
Reaction score
77,890
Wakuu wa Urembo.

Wifi na shemeji yenu kuna kazi anafanya jua linamuharibu ngozi yake. Katika kuulizia imebidi atumie mafuta ya kulinda na mionzi ya jua (sunscreen).

Sasa mimi nikaona nimfadhili, eeh kuulizia naambiwa bei ghali sana. Kusema kweli mi kununua hii bei naogopa (above 50,000/=Tsh ujazo mills 100)!

Je ni bei halali? Yanamsaidia kweli au?
 
Mnavyojitanuaga mapafu humu, kua mwanamke ajihudumie mwenyewe kumbe makwenu huko mnahudumia vizuri tu.

Yatamsaidia mkuu!
Dah sema fifty parefu.. 🥺
 
Wakuu wa Urembo.

Wifi na shemeji yenu kuna kazi anafanya jua linamuharibu ngozi yake. Katika kuulizia imebidi atumie mafuta ya kulinda na mionzi ya jua (sunscreen).

Sasa mimi nikaona nimfadhili, eeh kuulizia naambiwa bei ghali sana. Kusema kweli mi kununua hii bei naogopa (above 50,000/=Tsh ujazo mills 100)!

Je ni bei halali? Yanamsaidia kweli au?
Nunua tu mkuu, mtunze shemeji
 
Wakuu wa Urembo.

Wifi na shemeji yenu kuna kazi anafanya jua linamuharibu ngozi yake. Katika kuulizia imebidi atumie mafuta ya kulinda na mionzi ya jua (sunscreen).

Sasa mimi nikaona nimfadhili, eeh kuulizia naambiwa bei ghali sana. Kusema kweli mi kununua hii bei naogopa (above 50,000/=Tsh ujazo mills 100)!

Je ni bei halali? Yanamsaidia kweli au?
Ni kweli, ndio bei zake
 
kwa bei za supermarket ni 40,000 mpaka 50,000 na kuendelea
 
Kawaida hiyo, ingekuwa La Roche Posay si ungeandamana?

Sasa hapo ni sunscreen tu unafungua thread, je akiongeza vyote kuanzia cleanser, toner, serum, tomatine, body oil, n.k halafu viwe ni brand kubwa kama hiyo La Roche si utalia?
Tumhurumie, hapo hajatumiwa full list ya skin routine. Jamaa zetu hawa mbuni na vaseline zinawatosha
 
Ndio anaelekea huko, jiandae.

Akishaanza na hiyo suncsreen atataka kujua na vingine maana ataanza kupendeza.
Hafu niibiwe. Mjiandae kunipoteza.
 
Wakuu wa Urembo.

Wifi na shemeji yenu kuna kazi anafanya jua linamuharibu ngozi yake. Katika kuulizia imebidi atumie mafuta ya kulinda na mionzi ya jua (sunscreen).

Sasa mimi nikaona nimfadhili, eeh kuulizia naambiwa bei ghali sana. Kusema kweli mi kununua hii bei naogopa (above 50,000/=Tsh ujazo mills 100)!

Je ni bei halali? Yanamsaidia kweli au?
Tanzania wafanya biashara wanauza bei ya kukomoana wakati kodi hawalipi inavyotakiwa.

Hyo lotion Indonesia inauzwa rupees 80,000 tu? Sawa na 14000 shilings kwa moja.
Kwa nn iuzwe 50,000?
 
Kwani shemeji ni albino au anajichubua?
Kama anajichubua mwambie aache kujichubua, utanunua sana mafuta hapo.
Natania
 
Sunscreen unatoa mlio wote huo!! 😹😹
Subiri akuletee skincare routine full package km hujakimbia sijui..?? Ko mnachekelea mnavyobonyeza mawowo yakiwa soft? Mjue na kugharamia 🤣🤣🤣

Mitaani mnajipa maujiko mnamiliki pisi kali haya pambana sasa.!!
 
Wakuu wa Urembo.

Wifi na shemeji yenu kuna kazi anafanya jua linamuharibu ngozi yake. Katika kuulizia imebidi atumie mafuta ya kulinda na mionzi ya jua (sunscreen).

Sasa mimi nikaona nimfadhili, eeh kuulizia naambiwa bei ghali sana. Kusema kweli mi kununua hii bei naogopa (above 50,000/=Tsh ujazo mills 100)!

Je ni bei halali? Yanamsaidia kweli au?
Yes huyo kwanza anajitambua , maana kuna mpaka za elfu mbili. nzuri zinaanzia elfu 40 uhakika
 
Back
Top Bottom