Mundele Makusu
JF-Expert Member
- Sep 28, 2021
- 2,488
- 3,481
Unaipataje kutoka Indonesia kwa sisi wabongoTanzania wafanya biashara wanauza bei ya kukomoana wakati kodi hawalipi inavyotakiwa.
Hyo lotion Indonesia inauzwa rupees 80,000 tu? Sawa na 14000 shilings kwa moja.
Kwa nn iuzwe 50,000?