Napigwa hapa au? Mafuta ya "Sunscreen SPF 30" yanauzwa Bei ghali hivi?

Napigwa hapa au? Mafuta ya "Sunscreen SPF 30" yanauzwa Bei ghali hivi?

Tanzania wafanya biashara wanauza bei ya kukomoana wakati kodi hawalipi inavyotakiwa.

Hyo lotion Indonesia inauzwa rupees 80,000 tu? Sawa na 14000 shilings kwa moja.
Kwa nn iuzwe 50,000?
Unaipataje kutoka Indonesia kwa sisi wabongo
 
Kawaida hiyo, ingekuwa La Roche Posay si ungeandamana?

Sasa hapo ni sunscreen tu unafungua thread, je akiongeza vyote kuanzia cleanser, toner, serum, retinol, body oil, n.k halafu viwe ni brand kubwa kama hiyo La Roche si utalia?
We hivi anaishiaga kuwa single maza.
 
Kawaida hiyo, ingekuwa La Roche Posay si ungeandamana?

Sasa hapo ni sunscreen tu unafungua thread, je akiongeza vyote kuanzia cleanser, toner, serum, retinol, body oil, n.k halafu viwe ni brand kubwa kama hiyo La Roche si utalia?
Serum ya nini sasa, mke wake sio wa heka heka ila mwanaume ndo wa ivo
 
Wakuu wa Urembo.

Wifi na shemeji yenu kuna kazi anafanya jua linamuharibu ngozi yake. Katika kuulizia imebidi atumie mafuta ya kulinda na mionzi ya jua (sunscreen).

Sasa mimi nikaona nimfadhili, eeh kuulizia naambiwa bei ghali sana. Kusema kweli mi kununua hii bei naogopa (above 50,000/=Tsh ujazo mills 100)!

Je ni bei halali? Yanamsaidia kweli au?
Inategemea na brand.
 
Tanzania wafanya biashara wanauza bei ya kukomoana wakati kodi hawalipi inavyotakiwa.

Hyo lotion Indonesia inauzwa rupees 80,000 tu? Sawa na 14000 shilings kwa moja.
Kwa nn iuzwe 50,000?
Unachosena ni sahihi kabisa.. Aisee nilitaka kununua L'Oréal triple action day and night cream, nikaambiwa laki mbili moja, nilichoka kabisa. Bahati nzuri rafiki yangu akasafiri kwenda US, kaniletea day hizo products pamoja na sunscreen yake kwa laki na 70... Imagine ingecost kama laki 6 huku bongo.. Wanatuumiza sana.
 
Wakuu wa Urembo.

Wifi na shemeji yenu kuna kazi anafanya jua linamuharibu ngozi yake. Katika kuulizia imebidi atumie mafuta ya kulinda na mionzi ya jua (sunscreen).

Sasa mimi nikaona nimfadhili, eeh kuulizia naambiwa bei ghali sana. Kusema kweli mi kununua hii bei naogopa (above 50,000/=Tsh ujazo mills 100)!

Je ni bei halali? Yanamsaidia kweli au?
Mkuu
Pitia mafukani uulizie bei.

Hapa utapata majibu yenye nukta za kero
 
Wakuu wa Urembo.

Wifi na shemeji yenu kuna kazi anafanya jua linamuharibu ngozi yake. Katika kuulizia imebidi atumie mafuta ya kulinda na mionzi ya jua (sunscreen).

Sasa mimi nikaona nimfadhili, eeh kuulizia naambiwa bei ghali sana. Kusema kweli mi kununua hii bei naogopa (above 50,000/=Tsh ujazo mills 100)!

Je ni bei halali? Yanamsaidia kweli au?
Boss karibu sunscreen izo.
IMG_20241126_083525.jpg
IMG_20241126_092651.jpg
 
Wakuu wa Urembo.

Wifi na shemeji yenu kuna kazi anafanya jua linamuharibu ngozi yake. Katika kuulizia imebidi atumie mafuta ya kulinda na mionzi ya jua (sunscreen).

Sasa mimi nikaona nimfadhili, eeh kuulizia naambiwa bei ghali sana. Kusema kweli mi kununua hii bei naogopa (above 50,000/=Tsh ujazo mills 100)!

Je ni bei halali? Yanamsaidia kweli au?
50K unapigwa nin? Vitu vingine vya kupotezea let it go. Be Man not male
 
Back
Top Bottom