Nunua tu mkuu, mtunze shemejiWakuu wa Urembo.
Wifi na shemeji yenu kuna kazi anafanya jua linamuharibu ngozi yake. Katika kuulizia imebidi atumie mafuta ya kulinda na mionzi ya jua (sunscreen).
Sasa mimi nikaona nimfadhili, eeh kuulizia naambiwa bei ghali sana. Kusema kweli mi kununua hii bei naogopa (above 50,000/=Tsh ujazo mills 100)!
Je ni bei halali? Yanamsaidia kweli au?
Hivi asivijue uyu mtu. AtanifirisiKawaida hiyo, ingekuwa La Roche Posay si ungeandamana?
Sasa hapo ni sunscreen tu unafungua thread, je akiongeza vyote kuanzia cleanser, toner, serum, tomatine, body oil, n.k halafu viwe ni brand kubwa kama hiyo La Roche si utalia?
Ni kweli, ndio bei zakeWakuu wa Urembo.
Wifi na shemeji yenu kuna kazi anafanya jua linamuharibu ngozi yake. Katika kuulizia imebidi atumie mafuta ya kulinda na mionzi ya jua (sunscreen).
Sasa mimi nikaona nimfadhili, eeh kuulizia naambiwa bei ghali sana. Kusema kweli mi kununua hii bei naogopa (above 50,000/=Tsh ujazo mills 100)!
Je ni bei halali? Yanamsaidia kweli au?
Tumhurumie, hapo hajatumiwa full list ya skin routine. Jamaa zetu hawa mbuni na vaseline zinawatoshaKawaida hiyo, ingekuwa La Roche Posay si ungeandamana?
Sasa hapo ni sunscreen tu unafungua thread, je akiongeza vyote kuanzia cleanser, toner, serum, tomatine, body oil, n.k halafu viwe ni brand kubwa kama hiyo La Roche si utalia?
Ndio anaelekea huko, jiandae.Hivi asivijue uyu mtu. Atanifirisi
Tanzania wafanya biashara wanauza bei ya kukomoana wakati kodi hawalipi inavyotakiwa.Wakuu wa Urembo.
Wifi na shemeji yenu kuna kazi anafanya jua linamuharibu ngozi yake. Katika kuulizia imebidi atumie mafuta ya kulinda na mionzi ya jua (sunscreen).
Sasa mimi nikaona nimfadhili, eeh kuulizia naambiwa bei ghali sana. Kusema kweli mi kununua hii bei naogopa (above 50,000/=Tsh ujazo mills 100)!
Je ni bei halali? Yanamsaidia kweli au?
Yes huyo kwanza anajitambua , maana kuna mpaka za elfu mbili. nzuri zinaanzia elfu 40 uhakikaWakuu wa Urembo.
Wifi na shemeji yenu kuna kazi anafanya jua linamuharibu ngozi yake. Katika kuulizia imebidi atumie mafuta ya kulinda na mionzi ya jua (sunscreen).
Sasa mimi nikaona nimfadhili, eeh kuulizia naambiwa bei ghali sana. Kusema kweli mi kununua hii bei naogopa (above 50,000/=Tsh ujazo mills 100)!
Je ni bei halali? Yanamsaidia kweli au?