Mundele Makusu
JF-Expert Member
- Sep 28, 2021
- 2,488
- 3,481
Unaipataje kutoka Indonesia kwa sisi wabongoTanzania wafanya biashara wanauza bei ya kukomoana wakati kodi hawalipi inavyotakiwa.
Hyo lotion Indonesia inauzwa rupees 80,000 tu? Sawa na 14000 shilings kwa moja.
Kwa nn iuzwe 50,000?
Shida ni kuuza kitu kwa %300Unaipataje kutoka Indonesia kwa sisi wabongo
We hivi anaishiaga kuwa single maza.Kawaida hiyo, ingekuwa La Roche Posay si ungeandamana?
Sasa hapo ni sunscreen tu unafungua thread, je akiongeza vyote kuanzia cleanser, toner, serum, retinol, body oil, n.k halafu viwe ni brand kubwa kama hiyo La Roche si utalia?
Serum ya nini sasa, mke wake sio wa heka heka ila mwanaume ndo wa ivoKawaida hiyo, ingekuwa La Roche Posay si ungeandamana?
Sasa hapo ni sunscreen tu unafungua thread, je akiongeza vyote kuanzia cleanser, toner, serum, retinol, body oil, n.k halafu viwe ni brand kubwa kama hiyo La Roche si utalia?
Inategemea na brand.Wakuu wa Urembo.
Wifi na shemeji yenu kuna kazi anafanya jua linamuharibu ngozi yake. Katika kuulizia imebidi atumie mafuta ya kulinda na mionzi ya jua (sunscreen).
Sasa mimi nikaona nimfadhili, eeh kuulizia naambiwa bei ghali sana. Kusema kweli mi kununua hii bei naogopa (above 50,000/=Tsh ujazo mills 100)!
Je ni bei halali? Yanamsaidia kweli au?
Unachosena ni sahihi kabisa.. Aisee nilitaka kununua L'Oréal triple action day and night cream, nikaambiwa laki mbili moja, nilichoka kabisa. Bahati nzuri rafiki yangu akasafiri kwenda US, kaniletea day hizo products pamoja na sunscreen yake kwa laki na 70... Imagine ingecost kama laki 6 huku bongo.. Wanatuumiza sana.Tanzania wafanya biashara wanauza bei ya kukomoana wakati kodi hawalipi inavyotakiwa.
Hyo lotion Indonesia inauzwa rupees 80,000 tu? Sawa na 14000 shilings kwa moja.
Kwa nn iuzwe 50,000?
MkuuWakuu wa Urembo.
Wifi na shemeji yenu kuna kazi anafanya jua linamuharibu ngozi yake. Katika kuulizia imebidi atumie mafuta ya kulinda na mionzi ya jua (sunscreen).
Sasa mimi nikaona nimfadhili, eeh kuulizia naambiwa bei ghali sana. Kusema kweli mi kununua hii bei naogopa (above 50,000/=Tsh ujazo mills 100)!
Je ni bei halali? Yanamsaidia kweli au?
Boss karibu sunscreen izo.Wakuu wa Urembo.
Wifi na shemeji yenu kuna kazi anafanya jua linamuharibu ngozi yake. Katika kuulizia imebidi atumie mafuta ya kulinda na mionzi ya jua (sunscreen).
Sasa mimi nikaona nimfadhili, eeh kuulizia naambiwa bei ghali sana. Kusema kweli mi kununua hii bei naogopa (above 50,000/=Tsh ujazo mills 100)!
Je ni bei halali? Yanamsaidia kweli au?
50K unapigwa nin? Vitu vingine vya kupotezea let it go. Be Man not maleWakuu wa Urembo.
Wifi na shemeji yenu kuna kazi anafanya jua linamuharibu ngozi yake. Katika kuulizia imebidi atumie mafuta ya kulinda na mionzi ya jua (sunscreen).
Sasa mimi nikaona nimfadhili, eeh kuulizia naambiwa bei ghali sana. Kusema kweli mi kununua hii bei naogopa (above 50,000/=Tsh ujazo mills 100)!
Je ni bei halali? Yanamsaidia kweli au?
Sure. Jua kali sana hiliKwenye jua SPF kuanzia 50+ ndio sawa hiyo 30 hapana