King Kisali
JF-Expert Member
- Nov 20, 2019
- 1,041
- 1,349
Kwa P kutotaka shwahiba asikamatwe ni sawa.
Evidence ya Gwajima kutuhumu uongozi wa juu kula rushwa ya covid is very clear. Gwajima hajamtendea haki mama.Sirro afanye kazi yake or be shown the door -out!
Akipotezwa itapendeza zaidi huyu Gaidi wa Kiimani Tanzania nzima.
Hoja imejaa nyama #NAUNGA MKONO HOJA
Askofu Gwajima should not be arrested and here is why:
His anti- COVID-19 vaccine stance is stupid.
Stupid people are entitled to their stupid ideas and opinions.
They have the right to be stupid and to be wrong.
Stupidity can’t be legislated. It can’t be fixed.
He and his stupid flock should be left alone to wallow in their stupidity.
Badala yake, vyombo vya dola vijikite kupambana na uhalifu na viachane na mambo ya kipumbavu.
Anti-vaxxers wapo duniani kote.
Tusitumie nguvu kuwaziba midomo hawa wa kwetu.
Napinga kukamatwa kwa Askofu Gwajima endapo atakamatwa.
Mfano ingekuwa Jiwe ndiye kaleta chanjo, huyo Gwajiboy angeweza kuwa anaongea hayo anayoyasema kwa kujiamini hivyo? Au ni dharau kwa mamlaka kwa sababu kabaki mama baada ya mwendazake kusepa!
Uko sahihi lakini maoni yasivuke mipaka mpaka kudharau mamlaka ya nchi
mimi leo nikiulizwa yupi tapeli kati ya Gwajima na wewe mleta mada, Nitajibu mleta mada ndio tapeli maana anataka kuniaminisha vitu ambavyo havipo haviishi 😛Komando gani wa Yesu anasemaga uongo?
Huyu Gwajima ni tapeli tu hana lolote.
tupeni hiyo video! lini kasema na wapi? wengine tunafatilia sana hotuba zake na mahubiri yakeKasema raisi WA nchi amepewa rushwa na amedanganya wananchi kuwa kachanja kumbe kachoma Normal saline
Ipo video anasema serikali imehongwa, nimeiona ila mimi sina!Ninemsikiliza sana Gwajima sijasikia mahali alisema rais kapewa pesa,labda km kuna video nyingine!
Ila aliwalalamikia baadhi ya wataalam ....
Hapa siyo mahakamani kama hujaiona tafuta kwa wakati wako!tupeni hiyo video! lini kasema na wapi? wengine tunafatilia sana hotuba zake na mahubiri yake
Saa hizi yuko bize kuchagua pamba ya kuvaa kesho!Mama kalikoroga mwenyewe acha alinywe, kabla hajamuweka mbowe mahabusu na kauli zake za kuzuia uhuru wa watu alikuwa na uungwaji mkono mkubwa wa makundi mbalimbali ikiwemo upinzani, lkn baada ya kujichanganya hana mvuto tena na hana watetezi zaidi ya wachumia tumbo .....
Naona sasa ameanza kuwa fashionist na kwenda kuonesha huko ng'ambo pamba anazopigilia, hilo ndio alilochagua kwa sasa
Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
Ugaidi wa Kiimani urapungua Tanzania.Halafu itakufaidia kitu gani?
Nenda YouTube, yuko tele anaropoka HOVYOtupeni hiyo video! lini kasema na wapi? wengine tunafatilia sana hotuba zake na mahubiri yake
Mkuu hilo nalo unahitaji kipimo cha ki science kulitambua? Dah usikute wew ni mwanakondoo wakeDharau unapimaje?
Unatumia kipimo gani kujua uhuru wa mtu kutoa maoni yake na dharau?
Unasifa zote za kuwa mwanakondoo wa GwajiboyTafsiri ya ulichoandika ni “inferiority complex”
Kwanini uchukulie ni dharau sababu ya Mwendazake kusepa?!
Kama hukuiona wewe si mfuatiliaji makini. Nenda YouTube andika Gwajima then utaikutatupeni hiyo video! lini kasema na wapi? wengine tunafatilia sana hotuba zake na mahubiri yake
Hata ashitakiwe atashinda.
Askofu Gwajima should not be arrested and here is why:
His anti- COVID-19 vaccine stance is stupid.
Stupid people are entitled to their stupid ideas and opinions.
They have the right to be stupid and to be wrong.
Stupidity can’t be legislated. It can’t be fixed.
He and his stupid flock should be left alone to wallow in their stupidity.
Badala yake, vyombo vya dola vijikite kupambana na uhalifu na viachane na mambo ya kipumbavu.
Anti-vaxxers wapo duniani kote.
Tusitumie nguvu kuwaziba midomo hawa wa kwetu.
Napinga kukamatwa kwa Askofu Gwajima endapo atakamatwa.
Sukuma gang wako bize kuteteana, akileta ujinga anakamatwa tu
Askofu Gwajima should not be arrested and here is why:
His anti- COVID-19 vaccine stance is stupid.
Stupid people are entitled to their stupid ideas and opinions.
They have the right to be stupid and to be wrong.
Stupidity can’t be legislated. It can’t be fixed.
He and his stupid flock should be left alone to wallow in their stupidity.
Badala yake, vyombo vya dola vijikite kupambana na uhalifu na viachane na mambo ya kipumbavu.
Anti-vaxxers wapo duniani kote.
Tusitumie nguvu kuwaziba midomo hawa wa kwetu.
Napinga kukamatwa kwa Askofu Gwajima endapo atakamatwa.