Napinga Askofu Gwajima kukamatwa

Napinga Askofu Gwajima kukamatwa

Nyani ngabu huyo mtoto kwenye avatar yako,
He is super cutešŸ˜
 
Ugaidi wa Kiimani urapungua Tanzania.


Dini ya Kikisto haiwezi kujihusisha na Ugaini abadan!

Msingi wa Imani ya Kikristo ni UPENDO.

Imeandikwa : hata mtu akiwa na imani kubwa kiasi cha kuweza kuhamisha milima kung’oka kwenda kutupwa baharini pasipo upendo ni kazi bure [emoji108][emoji108]

Penye upendo hapana chuki, husuda, visasi n.k.

Misingi ya Ugaidi ni chuki, husuda , visasi ,imani haba n.k

Ukristo unakataza kuua binadamu awaye yote hata asiye mkristo.

Mkristo anaagizwa kuwa na upendo na jirani kama anavyojipenda nafsi yake mwenyewe.

Jirani ni mtu yoyote hata asiye Mkristo.
 
Naona upumbavu umeendelea leo hapo panapoitwa kanisani!
 
Back
Top Bottom