Kwa hiyo ndege zinatengenezeka ishu ni location ya kutengeneza?Mjomba ndege sio gari kuna kipindi lazima ziende gereji kuu na hko gereji kuu ndio nyumbani kwa mkulima anae Tudai ata zidaka !
Ata sehemu nyingine za Ulaya haziwezi kwenda zitadakiwa angani!
Dunia watu wanaishi kwa akili sio ubabe ubabe kafanyie ndani kwako!
Tatizo lako ni kuwa na akili ndogo.... Unavyofikiri wewe, mfano British Airways Boeing 747 ikiharibika inasafirishwa kwenda USA kutengenezwa? Nini kazi ya Engineer wa ndege sasa?Kwaiyo adi sasa hujaelewa kwamba hazitengeneki!!!!
Nina kazia hazitengeneki!!! Madeni tunayo daiwa ni makubwa kuliko thamani ya hizo ndege!!
Utafanyaje waki kamata ndege moja ukamlipa deni la kununulia ndege tatu ukarudishiwa ndege moja apo imetengeneka sio!!! ?
They have put everything clear but the problem they didn't meet your expectation gap and revealing what has been hidden for half a decade....it is shameeHata sisi huku uraiani tupo well trained and well informed as well so they should put their house inorder "wanapotoa " ripoti zao.
Wanachimba mabeberu Gesi yetu ardhi yetu na bado wanatuuzia sisi Gesi yetu wenyewePamoja na kujisifu kote kule tumeshindwa kuchimba gesi wenyewe au
Sent using Jamii Forums mobile app
Location haipo labda kama moshi au Kenya wana tengenezaKwa hiyo ndege zinatengenezeka ishu ni location ya kutengeneza?
Bullshit 😏CAG ametoa riport nzuri na kuibua matumizi mabovu na yasiyo na tija katika taasis za serikali , ambapo wa kulaumiwa ni watu wa chini Sana wa hayati Rais Magufuli, hata leo unaweza kukuta watu wamefanya matumizi mabovu ya serikali na sitegemei Rais Samia kuwa na macho 10000 kumulika kila level na kuona kila Baya huku chini, mifumo ni mibovu Sana.
Tuende kwenye mada yangu, Mradi wa umeme wa maji ni mradi ambao unaweza kupunguza Bei ya umeme na uwekezaji wake unatumia pesa nyingi kwa Mara ya kwanza lakini baada ya hapo ngarama za uendeshaji ni ndogo Sana pamoja na matengenezo, mfano kila Mwezi mitambo ya gesi ya kinyerezi unatumia takriban bil 4 za matengenezo/maintenance ambapo ukilinganisha na mtambo wa kidatu wa maji hata milioni 100 haifiki.
Point yangu ni kuwa CAG nataka kujua ametumia wataalamu gani wa HEP kuweza kujua kuwa upembuzi wa mwaka 1970 haufai, ofisi yake Haina wataalamu hao, na TANESCO walishathibitisha kuwa upembuzi ule bado ungeweza kufanya kazi Hadi leo, kwanza niwaambie, katika mito yote nchini Tanzania hakuna mto wenye maji mengi kushinda ama kukaribia RUFIJI river inapojengwa stiglers , Sasa mtasemaje kwamba hauwezi kuzalisha umeme wa kutosha.
Mi ningeomba wataalamu wa Rufiji basin, tanesco Na wengine wake waongelee Hilo suala sio kila kitu kupinga. Huu mradi una manufaa Tanzania mto ule ndo una maji mengi kuliko yote mlitaka tujenge bwawa wapi, ???
Hapa CAG Kama unataka tuende kwenye Gesi ambayo ni yetu lakini tunauziwa sawa, Tpdc anauziwa Gesi na makampuni ya nje yanayochimba Gesi kwetu halaf wao wanawauzia tanesco kuzalisha umeme, kwa Bei kubwa mno, Stiglers tu ndo inaweza kuikomboa tanesco Na watanzania, haya magesi ya muhongo hayafai
Tatizo ni hazitengenezeki au tatizo ni pa kutengenezea?Location haipo labda kama moshi au Kenya wana tengeneza
Toa factsBullshit 😏
Mashirika mengine kama KLM, KQ na ethiopian, emirates wanafaanyaje na za kwao pia haitengenezeki ingawa ni boeing hizo hizo?CAG alisema ndege zikihaihazitengenezeki, sijamuelewa. Alieelewa anieleweshe namie. Kwani hakuna Spea za Boeing na bombardier?
Wewe mtoto kojoa ukalale hujui unacho ongea! Una linganisha USA na Tanzania!!Tatizo lako ni kuwa na akili ndogo.... Unavyofikiri wewe, mfano British Airways Boeing 747 ikiharibika inasafirishwa kwenda USA kutengenezwa? Nini kazi ya Engineer wa ndege sasa?
Kwa mfano, ndege imekufa engine na inataa kuwa replaced, unataka kunambia inapelekwaje USA kufungwa engine nyengine?
Una kazia ujinga wa ndani ya boksi tu
Ukiskia mtu mzima ovyo basi ndio mfano wewe. Umeulizwa maswali huwezi kuyajibu unaandika upupuWewe mtoto kojoa ukalale hujui unacho ongea! Una linganisha USA na Tanzania!!
Uhisi ndege zina chokonolewa tu sio! Na kibali cha kurukia ndege kinatoka Chato ili ziweze kwenda Ulaya sio!?
Mafundi wapo apo Tandale na Kenya wana tengeneza na kutoa certificate kabisa pelekeni! Au South Africa piaTatizo ni hazitengenezeki au tatizo ni pa kutengenezea?
Hata hii ya stand ya Magufuri kusabisha msongamano ni kazi yake? Tunalishwa matango pori+CAG ametoa riport nzuri na kuibua matumizi mabovu na yasiyo na tija katika taasis za serikali , ambapo wa kulaumiwa ni watu wa chini Sana wa hayati Rais Magufuli, hata leo unaweza kukuta watu wamefanya matumizi mabovu ya serikali na sitegemei Rais Samia kuwa na macho 10000 kumulika kila level na kuona kila Baya huku chini, mifumo ni mibovu Sana.
Tuende kwenye mada yangu, Mradi wa umeme wa maji ni mradi ambao unaweza kupunguza Bei ya umeme na uwekezaji wake unatumia pesa nyingi kwa Mara ya kwanza lakini baada ya hapo ngarama za uendeshaji ni ndogo Sana pamoja na matengenezo, mfano kila Mwezi mitambo ya gesi ya kinyerezi unatumia takriban bil 4 za matengenezo/maintenance ambapo ukilinganisha na mtambo wa kidatu wa maji hata milioni 100 haifiki.
Point yangu ni kuwa CAG nataka kujua ametumia wataalamu gani wa HEP kuweza kujua kuwa upembuzi wa mwaka 1970 haufai, ofisi yake Haina wataalamu hao, na TANESCO walishathibitisha kuwa upembuzi ule bado ungeweza kufanya kazi Hadi leo, kwanza niwaambie, katika mito yote nchini Tanzania hakuna mto wenye maji mengi kushinda ama kukaribia RUFIJI river inapojengwa stiglers , Sasa mtasemaje kwamba hauwezi kuzalisha umeme wa kutosha.
Mi ningeomba wataalamu wa Rufiji basin, tanesco Na wengine wake waongelee Hilo suala sio kila kitu kupinga. Huu mradi una manufaa Tanzania mto ule ndo una maji mengi kuliko yote mlitaka tujenge bwawa wapi, ???
Hapa CAG Kama unataka tuende kwenye Gesi ambayo ni yetu lakini tunauziwa sawa, Tpdc anauziwa Gesi na makampuni ya nje yanayochimba Gesi kwetu halaf wao wanawauzia tanesco kuzalisha umeme, kwa Bei kubwa mno, Stiglers tu ndo inaweza kuikomboa tanesco Na watanzania, haya magesi ya muhongo hayafai
Kama nilivyoelewa ni kuwa hakuna bakaa ya fedha za matengenezo kutokana na deni kubwa wanalodaiwa na wakala wa serikali. Nimeona kama ameshauri wafanye review ya hizo gharama za ukodishaji wa ndege ili ziwe 'more realistic' (kwa sasa ni kubwa mno hazilipiki)Kuna rafiki yangu usiku wa kuamkia leo saa 1 alinitumia msg kunionesha hio ishu akiwa anafurahia. Nikamuuliza swali hadi sasa kashindwa kujibu, je ndege hizo hazina spea hata CAG aseme kuwa hazitengenezeki? Maana 787 ni ndege ya juzi tu katia line ya boeing, hizo bombardie nazo za juzi tu, sasa feni likiharibika, CAG anatwambia haitotengenezeka 😀 Alichoweza kuniambia ni kuwa CAG ndio kasema!