Napinga kabisa dhana ya "Mume ni Provider" katika ndoa

Hata mimi napinga ndiyo maana hata nikienda bar dem yoyote akiniomba nimnunulie bia moja hata awe mzuri vipi huwa najibu "Wewe umeninunulia ngapi?" Huku nimeweka uso wa Vladimir Putin. Wanazoea vibaya kupewa pewa tu na wanaona kama ni haki yao vile.
Mkutano wa Beijing uliwaharibu akili.
 
Idiot
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…