Pre GE2025 Napinga kauli za Rais Samia kwamba Uchaguzi wa Serikali za mitaa ulikuwa wa Utulivu na Amani

Pre GE2025 Napinga kauli za Rais Samia kwamba Uchaguzi wa Serikali za mitaa ulikuwa wa Utulivu na Amani

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Hata kama wanasema Mkubwa hakosei na wala hapingwi, lakini ni lazima ifahahamike kwamba Mungu amekataza Wanadamu kushiriki dhambi ya uongo.

Na kwa vile Mimi namuogopa Mungu kuliko wanadamu nakataa uongo huu wa wazi bila kujali aliyeutoa ni nani.

Hivi Uchaguzi ule ambao Wagombea wa Chadema wameenguliwa, wametekwa na kuuawa unawezaje kusema ulikuwa Uchaguzi wa Haki?

Ni kweli kwamba Watanzania ni Wajinga, lakini siamini kwamba ni Wajinga kwa kiwango cha kudanganywa kijinga namna hii, Vinginevyo anayetaka kuaminisha watu kwamba Watanzania ni Wajinga kwa kiwango hiki basi labda Ameamua kuwadharau kwa vile yeye ana vyeo vya bure.

Hivi kweli kuna Mwananchi mwenye akili timamu anaweza kuelewa akiambiwa uchaguzi ule ulikuwa huru na haki?

Screenshot_2024-12-31-22-10-21-1.png



Pia soma
- Salamu za Mwaka Mpya za Rais Samia kwa Watanzania
 
Hata kama wanasema Mkubwa hakosei na wala hapingwi, lakini ni lazima ifahahamike kwamba Mungu amekataza Wanadamu kushiriki dhambi ya uongo.

Na kwa vile Mimi namuogopa Mungu kuliko wanadamu nakataa uongo huu wa wazi bila kujali aliyeutoa ni nani.

Hivi Uchaguzi ule ambao Wagombea wa Chadema wameenguliwa, wametekwa na kuuawa unawezaje kusema ulikuwa Uchaguzi wa Haki?

Ni kweli kwamba Watanzania ni Wajinga, lakini siamini kwamba ni Wajinga kwa kiwango cha kudanganywa kijinga namna hii, Vinginevyo anayetaka kuaminisha watu kwamba Watanzania ni Wajinga kwa kiwango hiki basi labda Ameamua kuwadharau kwa vile yeye ana vyeo vya bure.

Hivi kweli kuna Mwananchi mwenye akili timamu anaweza kuelewa akiambiwa uchaguzi ule ulikuwa huru na haki?

View attachment 3189602


Pia soma
- Salamu za Mwaka Mpya za Rais Samia kwa Watanzania
Ccm mbele kwa mbele
 
Hata kama wanasema Mkubwa hakosei na wala hapingwi, lakini ni lazima ifahahamike kwamba Mungu amekataza Wanadamu kushiriki dhambi ya uongo.

Na kwa vile Mimi namuogopa Mungu kuliko wanadamu nakataa uongo huu wa wazi bila kujali aliyeutoa ni nani.

Hivi Uchaguzi ule ambao Wagombea wa Chadema wameenguliwa, wametekwa na kuuawa unawezaje kusema ulikuwa Uchaguzi wa Haki?

Ni kweli kwamba Watanzania ni Wajinga, lakini siamini kwamba ni Wajinga kwa kiwango cha kudanganywa kijinga namna hii, Vinginevyo anayetaka kuaminisha watu kwamba Watanzania ni Wajinga kwa kiwango hiki basi labda Ameamua kuwadharau kwa vile yeye ana vyeo vya bure.

Hivi kweli kuna Mwananchi mwenye akili timamu anaweza kuelewa akiambiwa uchaguzi ule ulikuwa huru na haki?

View attachment 3189602


Pia soma
- Salamu za Mwaka Mpya za Rais Samia kwa Watanzania
Mama anazingua. NI yeye aliyeharibu uchaguzi
 
Hata kama wanasema Mkubwa hakosei na wala hapingwi, lakini ni lazima ifahahamike kwamba Mungu amekataza Wanadamu kushiriki dhambi ya uongo.

Na kwa vile Mimi namuogopa Mungu kuliko wanadamu nakataa uongo huu wa wazi bila kujali aliyeutoa ni nani.

Hivi Uchaguzi ule ambao Wagombea wa Chadema wameenguliwa, wametekwa na kuuawa unawezaje kusema ulikuwa Uchaguzi wa Haki?

Ni kweli kwamba Watanzania ni Wajinga, lakini siamini kwamba ni Wajinga kwa kiwango cha kudanganywa kijinga namna hii, Vinginevyo anayetaka kuaminisha watu kwamba Watanzania ni Wajinga kwa kiwango hiki basi labda Ameamua kuwadharau kwa vile yeye ana vyeo vya bure.

Hivi kweli kuna Mwananchi mwenye akili timamu anaweza kuelewa akiambiwa uchaguzi ule ulikuwa huru na haki?

View attachment 3189602


Pia soma
- Salamu za Mwaka Mpya za Rais Samia kwa Watanzania
Well done Dr Samia Suluhu Hassan,

uchuguzi mkuu wa Oct 2025, pia utafanyika kwa uhuru, haki na uwazi zaidi 🐒
 
Back
Top Bottom