Uko sahihi kiongozi.
Wewe subiri report ya CAG 2019/20 mwaka kesho itakavyoibua madudu ya utafunaji wa Fedha za Walipa Kodi halafu usikie majibu ya kina Supukali Ayubu na Mapoyoyo wa CCM watakavyo mkomalia CAG kuwa anali dhalilisha Bunge......Poor Tanzanians...nani aliyewaroga?