Napinga kejeli za wachora katuni wa Kenya kwa Taifa Stars

Napinga kejeli za wachora katuni wa Kenya kwa Taifa Stars

Uko sahihi kiongozi.
Wewe subiri report ya CAG 2019/20 mwaka kesho itakavyoibua madudu ya utafunaji wa Fedha za Walipa Kodi halafu usikie majibu ya kina Supukali Ayubu na Mapoyoyo wa CCM watakavyo mkomalia CAG kuwa anali dhalilisha Bunge......Poor Tanzanians...nani aliyewaroga?
Watanzania wengi wetu ni wajinga, tunashindwa kutetea haki zetu za msingi ndio maana Ma CCM yanavunja sheria kadri yanavyotaka lakini tunayachekea tu.
 
Back
Top Bottom