Mkurugenzi wa Halmashauri.DEO ndo cheo gani mkuu
Kodi yangu.Wewe unapoteza nini akitumbuliwa?
Mkurugenzi wa Halmashauri anaitwa DEO?Mkurugenzi wa Halmashauri.
Mwanajamii.Who are you by the way.
DEO-Means District Education OficerMkurugenzi wa Halmashauri.
Ni hulka yetu kushangilia anapotumbuliwa mtu.Nampongeza saana mh Rais kwa kutengua viongozi wote waliokuwa wakirumbana na kufanyiana fitina hadharani mbele ya wananchi.
Ilikuwa aibu,soni na fedheha kubwa, sasa wakajifunze shika adabu primary school the meaning of working together under the same government.
Viva Magufuli.
District Education officer. Afisa Elimu wa wilaya. Mkurugenzi wa wilaya DED, huyu alietumbuliwa ni CED.Samahani naomba kirefu cha DEO
Toa education weka Executive DirectorDEO-Means District Education Oficer