Napinga Luka Modric kupewa BALLON D'OR


Hivi ili ubebe timu lazima ufunge magoli na uassist? dah Generation ya technology kwenye ubora wake. Kwaiyo kipa hawezi beba timu? Beki au midfield?
 
RAFIKI: Vipi mbona leo huna uchangamfu

JAMAA: Wanawake bwana, mwanamke hata umpendeje atakugeuka tu

RAFIKI: Nini tena ndugu yangu? Mbona shemeji mtu fresh sana

JAMAA: Hata mimi nilikuwa najua hivyo, leo nimegundua kumbe ana siri kubwa sana ananificha, mi naita huu ni usaliti wa ndoa.

RAFIKI: Nini tena?

JAMAA:Nimegundua mke wangu kumbe anafanya biashara ya kitimoto na hajawahi hata kuniambia

RAFIKI: Kitimoto? We umejuaje?

JAMAA: Leo asubuhi nilichelewa kuamka niliamua nijipumzishe kidogo kabla ya kwenda kazini, simu ya mke wangu ikalia, nikaamua kuipokea, kabla hata sijafungua mdomo, nikasikia sauti ya mwanaume mmoja akauliza, “Huyo nguruwe umeshamuondoa?’
Pole sana najua umeumia lakini ndio haki mkuu.
 
Ballon D'Or voted openly by journalists, lakini nimegundua kuna watu wengi hawalijui hili. Wanadai ni fraud, ukiwauliza kivipi hata wao wenyewe hawajui.
Stop ruining the celebrations, let our boy enjoy his moment.
 
Ronaldo angepata kama angekuwa Real
 
Kumfananisha zidane na modric ni kutolitendea haki soka.
Mechi muhimu zaidi hasa za fainali ambapo mbinu zote zinashindikana yeye ndio unamuona kila sehemu,refer fainali ya brazili,italy, leverkusen etc

Zidane wenzake ni GOAT wengine kina maradona, pelle etc.

World cup sawa nakubali modric alikuwa bora ila UEFA ilikuwa nibebe nibebe naweza taja hata wachezaji 10 bora zaidi ya modric kwenye uefa iliopita. Japo mimi mshabiki wa man u ila salah, mane na firmino walikuwa bora zaidi Uefa kuliko modric.

Hebu niambie perfomance gani ya Modric Uefa kumzidi Mane? Au kumbukumbu yako hebu nitajie iconic perfomance yake inayo highlight huo uchezaji bora wake?.

Ukija kwenye ligi kacheza mechi 23 tu (15 hajacheza) nako pia alikuwa average.

Na ndio tusijudge midfield kwa magoli ila modric kama creative player tunatakiwa tumjudge kwa chance anazocreate na assist,ila vyote hivyo modric sio best duniani.

Watu kama Ronaldo, Varane, mbape, salah,de bruyne etc walikuwa bora zaidi kwa muono wangu.

Na hizo votes ndio zinazoharibu baloon d or, siku ukizidownload na kuangalia ndio utaona ambavyo sio fair, popularity na uwezo wa mpira ni vitu viwili tofauti kuna makapteni wa nchi za ajabu ajabu hawana hata interest na mpira wanavote tu randomly.
 


Endeleeni kulialia.
 
Hivi nyie vilaza wa wapi? Je pia mnapinga Luka kuwa mchezaji Bora ndani ya world cup? au pia mlitaka wapewe Messi na Ronaldo ?
We kenge World cup ni mechi sita tu haziwezi kukupa sifa ya kuwa mchezaji bora Wa mwaka utapewa ubora Wa hizo mechi tu. Na sio kwa mwaka mzima... Modric alistahili fifa best player only but for Uefa no and balloon For No no no performance yake haijamzidi Messi wala Ronaldo kuna vitu vingi vya kuangalia kwa mtaalam Wa soccer na sio ushabiki maandazi tuzo Mwaka huu ni kama revange kwa ronaldo hamumjui Perez raisi Wa Real Madrid nyie kacheza karata zake hadi goli bora ronaldo akose akapewa Mo Sarah kuifupi tuzo zimepotezwa maboya ni pathetic
 


Unaongea bullshit halafu unajiita mtaalamu wa soka. Kama hujui mshindi wa Ballon D'Or anapatikana vipi bora unyamaze tu kuliko kuongea habari za kijiweni.
 
FIFA wawaombe radhi Wesley, iniesta na xavi na ribery hawakuwatendea haki kabsa
 
Tatizo wengi humu ni mesi ronaldo jaman

Hata mimi sijaafiki tuzo yoyote ya modric aana nina list yangu iliyofaa mmoja wao apewe
.
De brune
Kante
Manduic
Vida
Verane
Mane for uefa
Salah for uefa
Hazard for world cup
 

Pole sana mkuu. World ndio mashindano makubwa zaidi kwenye mchezo wa Mpira wa miguu. Na yoyote anayeng'ara kwenye mashindano ya wold cup anatengeneza heshima ambayo itadumu maisha tafauti kabisa na hayo mashindano ya vilabu.

Paulo Rossi 82, Maradona 86, Mathius 90, Romario 94, Zidane 98, Ronaldo 2002, Cannavaro 2006 walishinda baloon d'or au uchezaji bora wa tunzo nyengine yoyote ya dunia kwa sababu ya performance zao kwenye World Cup.
Dunia haitawasahau Paulo Rossi, Wala Schillaci, Wala Kempas kwasababu ya walioyafanya ndani ya world cup na si pengine popote .Sasa weye kama unaamini kufunga magoli mengi kwenye ligi na copa ndio kigezo cha ushindi wa uchezaji bora pole sana mkuu.
 
Una mtindio wa ubongo wewe mbwa mwitu. Perez ndie mpiga kura?
 
Ballon d'Or vote from Comoros was falsified and fake
2 hours ago / autty
A report from IlBianconero states that a journalist who had given his vote for the Ballon d'Or doesn't exist and France Football faked his name and his votes.

The Ballon d'Or was won by Luka Modric, ahead of the likes of Cristiano Ronaldo and Antoine Griezmann as the votes of one journalist from every country was taken into account to decide the winner.
But it seems as though the journalist who was said to be from Comoros, doesn't exist. Someone called Abdou Boina had supposedly cast votes from the country's side, but a photographer who works for the same newspaper that Boina was 'working' for has said that there is no one called Abdou Boina who works for them.

The photographer Toimimou Abdou also claims that the newspaper has been closed for the last six years.
He said: "I'm surprised to see that Albalad Comores still exists. " The reality is that this newspaper has been closed for almost six years. In this environment, there has never been a journalist named Abdou Boina."
This comes after a journalist from Trinidad and Tobago had said that his votes had been falsified.
Copyright Declaration
 
Mwaka huu tumekua bored of Messi na Ronaldo, sababu vigezo walivyompatia Modric, Sneijder, Xavi na Iniesta pia walikua navyo na hawakupata. Modric wamezingua tena sana. Best player in the World kwa sasa ni Messi and Ronaldo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…