Napinga Makamu Mwenyekiti wa CCM Abdulrahman Kinana kuwa mgeni rasmi kwenye game ya Simba vs Orlando Pirates

Napinga Makamu Mwenyekiti wa CCM Abdulrahman Kinana kuwa mgeni rasmi kwenye game ya Simba vs Orlando Pirates

CCM na Simba/Yanga baba mmoja mama mmoja.huo ndo ukweli,kama hutaki basi sikulazimishi.
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Naomba tu Mungu wasimpe maiki akazunguzungumza hakawii kusema ccm oyeee kazi iendelee
[emoji1787][emoji1787]
Imagine uko CHADEMA afu mzuka wa Simba umekoleaa, , unajikuta umeitikia kwa nguvu Zote 'Hoyeeeee' baadae unakuja kucheck highlights unasikia kasema CCM hoyee,, patam hapo
 
View attachment 2190571

Ni lazima waandaaji wa mechi za soka watambue kwamba , soka ndio mchezo pekee unaounganisha watu wote bila kujali itikadi za kisiasa , Umri , Jinsia , dini , rangi wala makabila yao .

Kuweka kiongozi wa CCM kuwa mgeni rasmi wa mechi ya kimataifa ya CAF ni kitendo ambacho lengo lake ni kumtambulisha Kinana mbele ya Watazamaji , Jambo hili la kutumia soka kupata Ahueni ya kisiasa halikubaliki na tutalipinga kwa nguvu zote , LIWALO NA LIWE !

Kwani ni nani Hamjui Kinana mpaka muanze kuvunja protokali kwa kumpachika asipostahili , Waziri wa Michezo au viongozi wengine wa serikali wako wapi ? Halafu Kinana na Soka wapi na wapi jamani ?

Huyu Rais wa TFF wa sasa Karia ndio kiongozi wa soka wa Tanzania anayejiingiza mno kwenye siasa , jambo hili likiachwa liendelee litavuruga soka na kusababisha Fujo , iko siku tutaleta viongozi wa Chama Chetu ili wawe Wageni Rasmi bila hata kualikwa .

Majuto ni Mjukuu
Ndo imekuwa mzee
 
Msichojua ni kwamba, hizi team kubwa za Tz ni mitaji ya CCM kwahiyo lolote watakaloomba lifanyike kwa manufaa yao litafanyika tu. Hamuoni hata viongozi wakubwa wa hizo teams sikuzote ni wana CCM?? Leo ajitokeze mwanasiasa yoyote wa upinzani atake kununua hisa uone vita atakayopigwa.

Hayo ni maelekezo ya kimkakati kutoka juu.
 
Bora angekuwa hata RPC wa KM DSM ACP Muliro maana ni mtu wa mpira na hakuna mechi anaikosa kwa Mkapa.

Urais wa TFF limekuwa daraja la kuelekea kwenye ubunge hivyo Karia naye anamsogeza Kinana kiaina ili aje akumbukwe pia.
 
CCM inaweza ikaishauri serikali ila serikali haiwezi kuishauri CCM

–kinana –
 
View attachment 2190571

Ni lazima waandaaji wa mechi za soka watambue kwamba , soka ndio mchezo pekee unaounganisha watu wote bila kujali itikadi za kisiasa , Umri , Jinsia , dini , rangi wala makabila yao .

Kuweka kiongozi wa CCM kuwa mgeni rasmi wa mechi ya kimataifa ya CAF ni kitendo ambacho lengo lake ni kumtambulisha Kinana mbele ya Watazamaji , Jambo hili la kutumia soka kupata Ahueni ya kisiasa halikubaliki na tutalipinga kwa nguvu zote , LIWALO NA LIWE !

Kwani ni nani Hamjui Kinana mpaka muanze kuvunja protokali kwa kumpachika asipostahili , Waziri wa Michezo au viongozi wengine wa serikali wako wapi ? Halafu Kinana na Soka wapi na wapi jamani ?

Huyu Rais wa TFF wa sasa Karia ndio kiongozi wa soka wa Tanzania anayejiingiza mno kwenye siasa , jambo hili likiachwa liendelee litavuruga soka na kusababisha Fujo , iko siku tutaleta viongozi wa Chama Chetu ili wawe Wageni Rasmi bila hata kualikwa .

Majuto ni Mjukuu .

Kwa hili rasmi nahamia Orlando Pirates
 
View attachment 2190571

Ni lazima waandaaji wa mechi za soka watambue kwamba , soka ndio mchezo pekee unaounganisha watu wote bila kujali itikadi za kisiasa , Umri , Jinsia , dini , rangi wala makabila yao .

Kuweka kiongozi wa CCM kuwa mgeni rasmi wa mechi ya kimataifa ya CAF ni kitendo ambacho lengo lake ni kumtambulisha Kinana mbele ya Watazamaji , Jambo hili la kutumia soka kupata Ahueni ya kisiasa halikubaliki na tutalipinga kwa nguvu zote , LIWALO NA LIWE !

Kwani ni nani Hamjui Kinana mpaka muanze kuvunja protokali kwa kumpachika asipostahili , Waziri wa Michezo au viongozi wengine wa serikali wako wapi ? Halafu Kinana na Soka wapi na wapi jamani ?

Huyu Rais wa TFF wa sasa Karia ndio kiongozi wa soka wa Tanzania anayejiingiza mno kwenye siasa , jambo hili likiachwa liendelee litavuruga soka na kusababisha Fujo , iko siku tutaleta viongozi wa Chama Chetu ili wawe Wageni Rasmi bila hata kualikwa .

Majuto ni Mjukuu .
Jitangaze uwe wewe mgeni rasmi 😂😂
 
CCM wanatafuta mileage ya kupendwa, lakin huku mtaani hakuna mtu ana time nao. Wanahangaika tu kama chawa
 
Back
Top Bottom