Napinga Njama zozote za kuwarejesha Wasaliti Chadema akiwemo Dkt Slaa na Halima Mdee, Walishafukuzwa na Baraza Kuu

Napinga Njama zozote za kuwarejesha Wasaliti Chadema akiwemo Dkt Slaa na Halima Mdee, Walishafukuzwa na Baraza Kuu

I think kushiriki kwa Slaa kuja CHADEMA ni alitaka Lowasa aje CHADEMA lakini awe mwanachama wa kawaida na siyo mgombea.
Katiba ya Chadema inasemaje kuhusu haki za mwanachama mpya?

Haki za Mwanachama zimo kwenye Katiba, hazitegemei kudra au matakwa ya Mtu
 
Hakuna namna chadema inahitaji nguvu za watu wengi na mtu kama halima mdee anauwezo wa kumtoa gwajima kawe kiurahisi. Gwajima tapeli
 
I think kushiriki kwa Slaa kuja kwa Lowasa CHADEMA kuwa ni alitaka Lowasa aje CHADEMA lakini awe mwanachama wa kawaida kwanza na siyo mgombea. Ila Lowasa yeye alikuja na mission moja nayo ni kugombea tu na hataki habari nyingine yoyote!.
Kulikuwa na utapeli. Slaa aliambiwa lowasa angekuja na wabunge wasiopungua 50 toka ccm, wenyeviti wa mikoa na wajumbe wa NEC kibao.

Alijiondoa baada ya kugundua utapeli ule, na mbowe hakuweka wazi mapema mipango yake kumleta lowasa (mbowe alianza mchakato kumleta lowasa mwaka 2012 bila kuwashirikisha viongozi wenzake).
 
Kulikuwa na utapeli. Slaa aliambiwa lowasa angekuja na wabunge wasiopungua 50 toka ccm, wenyeviti wa mikoa na wajumbe wa NEC kibao.

Alijiondoa baada ya kugundua utapeli ule, na mbowe hakuweka wazi mapema mipango yake kumleta lowasa (mbowe alianza mchakato kumleta lowasa mwaka 2012 bila kuwashirikisha viongozi wenzake).
Nani alimleta Lowassa Chadema? unatunga uongo JF ili iweje?
 
Katiba ya Chadema inasemaje kuhusu haki za mwanachama mpya?

Haki za Mwanachama zimo kwenye Katiba, hazitegemei kudra au matakwa ya Mtu
😃😃
1000021296.jpg
 
Kwa Mujibu wa Katiba ya Chadema hakuna Kiongozi wa ngazi yoyote wa Chama hicho anayeweza kufanya Maamuzi ya Peke yake (Maamuzi Binafsi) ambayo yanaweza kutengua adhabu aliyopewa Mwanachama yeyote yule na Vikao halali vya Chama.

Njia pekee ya kufanya hivyo ni kwa kutumia Vikao vile vile vya Chama, ambavyo kwa namna yoyote havitaweza kuketi ili kujadili Ujinga huo, Halima Mdee na Wenzake walishafukuzwa na Chadema kwa vikao halali vya Chama vilivyotumia pesa nyingi za Chama kuviitisha, Chadema haina hela za kuchezea ili kuitisha vikao vya masihara, hili limeisha na waendelee kujiambatanisha na CCM kama walivyofanya kwa miaka mitano yote.

Dkt Slaa aliondoka Chadema kwa kisingizio cha Lowassa, akiwa yeye ndiye kamleta Lowassa! akahongwa Ubalozi waziwazi , namna alivyoingizwa Hotelini kwa Press iliyoandaliwa na serikali ili kutukana Chadema kila mtu aliona (Video zile zingalipo hata leo), Huyu hata Shambulio la kumuua Tundu Lissu aliita Shambuloo la Kawaida, na kwamba mashambulio kama hayo hata huko Ulaya yanafanyika, huyu aweza kurudi Chadema, Chama alichokituhumu kuleta Choo sebuleni ili iweje?

Napinga kabisa jambo hili kufanyika, Chadema ina lundo la Wamama wenye uwezo mkubwa sana wa kuwa viongozi, hakuna sababu ya maana wala ya kijinga ya kuwarejesha Mamluki, Naapa kutoshirikiana nao katika lolote hata kama watarejeshwa (Maana Chama si changu peke yangu)

Wengine wanaweza kusema kwamba Nina roho mbaya na labda nashindwa Kusamehe, lakini ni wapi kwenye Vitabu vya Mungu imeandikwa Tumsamehe Shetani? Pamoja na Mwenyezi Mungu kusisitiza mno Msamaha na kusamehe lakini hakuwahi kuagiza kusamehe Mwovu Shetani.

Naomba Kuwasilisha.
Ukimuomba Mungu akusamehe dhambi zako Mungu hukusamehe dhambi zako zote lakini nawewe usizikumbuke Tena

If you ask God to forgive your sins, God forgives for all but also do not remember your sins anymore
 
Hakuna namna chadema inahitaji nguvu za watu wengi na mtu kama halima mdee anauwezo wa kumtoa gwajima kawe kiurahisi. Gwajima tapeli
Ni kweli Chadema inahitaji nguvu bali haihitaji nguvu za mawakala wa shetani
 
Kwa Mujibu wa Katiba ya Chadema hakuna Kiongozi wa ngazi yoyote wa Chama hicho anayeweza kufanya Maamuzi ya Peke yake (Maamuzi Binafsi) ambayo yanaweza kutengua adhabu aliyopewa Mwanachama yeyote yule na Vikao halali vya Chama.

Njia pekee ya kufanya hivyo ni kwa kutumia Vikao vile vile vya Chama, ambavyo kwa namna yoyote havitaweza kuketi ili kujadili Ujinga huo, Halima Mdee na Wenzake walishafukuzwa na Chadema kwa vikao halali vya Chama vilivyotumia pesa nyingi za Chama kuviitisha, Chadema haina hela za kuchezea ili kuitisha vikao vya masihara, hili limeisha na waendelee kujiambatanisha na CCM kama walivyofanya kwa miaka mitano yote.

Dkt Slaa aliondoka Chadema kwa kisingizio cha Lowassa, akiwa yeye ndiye kamleta Lowassa! akahongwa Ubalozi waziwazi , namna alivyoingizwa Hotelini kwa Press iliyoandaliwa na serikali ili kutukana Chadema kila mtu aliona (Video zile zingalipo hata leo), Huyu hata Shambulio la kumuua Tundu Lissu aliita Shambuloo la Kawaida, na kwamba mashambulio kama hayo hata huko Ulaya yanafanyika, huyu aweza kurudi Chadema, Chama alichokituhumu kuleta Choo sebuleni ili iweje?

Napinga kabisa jambo hili kufanyika, Chadema ina lundo la Wamama wenye uwezo mkubwa sana wa kuwa viongozi, hakuna sababu ya maana wala ya kijinga ya kuwarejesha Mamluki, Naapa kutoshirikiana nao katika lolote hata kama watarejeshwa (Maana Chama si changu peke yangu)

Wengine wanaweza kusema kwamba Nina roho mbaya na labda nashindwa Kusamehe, lakini ni wapi kwenye Vitabu vya Mungu imeandikwa Tumsamehe Shetani? Pamoja na Mwenyezi Mungu kusisitiza mno Msamaha na kusamehe lakini hakuwahi kuagiza kusamehe Mwovu Shetani.

Naomba Kuwasilisha.
Tumemsikiliza Lissu na tumemuelewa. Wewe unarudia tu kujifanya unajua zaidi.

Mwenyekiti wetu keshasema, wewe kazi yako iwe kumrejea tu!!

Nyie Vijana wa Mbowe mna shida sana
 
Ni kweli Chadema inahitaji nguvu bali haihitaji nguvu za mawakala wa shetani
Toka chadema ianze kufukuza wasaliti..
1. Wasaliti wamekwisha ndani ya chama?
2. Chama kimeimarika au kimedhoofika..?
3. Kuna uhakika wa kutokuwepo wasaliti tena?
4. Je, usaliti peke yake ndio kosa kubwa lisilosameheka kuzidi makosa mengine? Mfano, kunyanyasa wanachama..nk
5. Kuweka misimamo ya kutosamehe wanachama waliokosea ni kujipiga risasi mguu mmoja kabla ya mbio kuanza..utashinda?
 
I think kushiriki kwa Slaa kuja kwa Lowasa CHADEMA kuwa ni alitaka Lowasa aje CHADEMA lakini awe mwanachama wa kawaida kwanza na siyo mgombea. Ila Lowasa yeye alikuja na mission moja nayo ni kugombea tu na hataki habari nyingine yoyote!.
Hakuna cha kuhisi, Slaa mwenyewe alishasema kila kitu zaidi ya mara Moja nenda kasikilize. Mimi sioni kosa lake kwenye huo mchakato wa kumleta Lowasa
 
Ukweli ni kwamba lowasa alinunua nafasi ya kugombea urais chadema kwa pesa ndefu, mbowe na lisu walipata mgao.

Ni lisu aliyetoka kwenye media kutudanganya kuwa wamemchukua lowasa baada ya kufanya utafiti na kujiridhisha kuwa alikuwa na nafasi ya kushinda urais.

Nachoshindwa kufahamu mpaka leo ni, mabadiliko gani wananchi tungeyapata kama lowasa angeshinda.
Alafu Slaa anaitwa msaliti Yani sielewi ? Kama sio CHADEMA ndio waliomsaliti, Yani hiki chama toka ile siku Lisu ameongea, nimeona hamna kitu pale
 
Historia inatambua ukweli huu na itaukumbuka siku zote..ukweli ni kwamba, toka 2005 hadi sasa nchi inahitaji kiongozi aina ya Dkt. Slaa ili ipone maradhi inayougua..na kati ya maradhi hayo ni udhaifu na ubovu wa intelligence team iliyokuwepo baada ya Mkapa hadi sasa.., hata km nchi nyingi Afrika zina tatizo la namna hii lkn hapa Tanzania limekuwa sugu kiasi kwamba ndio chimbuko la maradhi mengine yote km..MFUMO MBOVU WA UCHAGUZI NA UVURUGAJI WA UCHAGUZI, WIZI, RUSHWA, UBADHILIFU, UZEMBE, NEPOTISM, UFISADI, MATUMIZI MABAYA YA MADARAKA, UKANDAMIZAJI DEMOKRASIA, WATU KUPOTEA, KUKATAA MAPENDEKEZO YA KUPATA KATIBA MPYA, SIASA ZA KUPUMBAZA WATU nk..
Mtu pekee mwenye sifa kutibu magonjwa haya kati ya wote waliogombea Urais kwa vyama vyote toka 2005 hadi sasa ni Dkt. Slaa peke yake ndie anaweza kusimamia tiba ya huu ugonjwa sugu! Nadharia ya matibabu inataka utibu kwanza tatizo linalosababisha matatizo mengine kutokea..
Historia itakuja kusema baada ya nchi kuishia shimoni!
 
Kwa Mujibu wa Katiba ya Chadema hakuna Kiongozi wa ngazi yoyote wa Chama hicho anayeweza kufanya Maamuzi ya Peke yake (Maamuzi Binafsi) ambayo yanaweza kutengua adhabu aliyopewa Mwanachama yeyote yule na Vikao halali vya Chama.

Njia pekee ya kufanya hivyo ni kwa kutumia Vikao vile vile vya Chama, ambavyo kwa namna yoyote havitaweza kuketi ili kujadili Ujinga huo, Halima Mdee na Wenzake walishafukuzwa na Chadema kwa vikao halali vya Chama vilivyotumia pesa nyingi za Chama kuviitisha, Chadema haina hela za kuchezea ili kuitisha vikao vya masihara, hili limeisha na waendelee kujiambatanisha na CCM kama walivyofanya kwa miaka mitano yote.

Dkt Slaa aliondoka Chadema kwa kisingizio cha Lowassa, akiwa yeye ndiye kamleta Lowassa! akahongwa Ubalozi waziwazi , namna alivyoingizwa Hotelini kwa Press iliyoandaliwa na serikali ili kutukana Chadema kila mtu aliona (Video zile zingalipo hata leo), Huyu hata Shambulio la kumuua Tundu Lissu aliita Shambuloo la Kawaida, na kwamba mashambulio kama hayo hata huko Ulaya yanafanyika, huyu aweza kurudi Chadema, Chama alichokituhumu kuleta Choo sebuleni ili iweje?

Napinga kabisa jambo hili kufanyika, Chadema ina lundo la Wamama wenye uwezo mkubwa sana wa kuwa viongozi, hakuna sababu ya maana wala ya kijinga ya kuwarejesha Mamluki, Naapa kutoshirikiana nao katika lolote hata kama watarejeshwa (Maana Chama si changu peke yangu)

Wengine wanaweza kusema kwamba Nina roho mbaya na labda nashindwa Kusamehe, lakini ni wapi kwenye Vitabu vya Mungu imeandikwa Tumsamehe Shetani? Pamoja na Mwenyezi Mungu kusisitiza mno Msamaha na kusamehe lakini hakuwahi kuagiza kusamehe Mwovu Shetani.

Naomba Kuwasilisha.
Hakuna rafiki wala adui wa kudumu katika siasa.yeyote muda wowote anaweza kuwa rafiki au adui yako.

Maisha yenyewe mafupi afu unataka kujibebesha mizigo
 
Kwa Mujibu wa Katiba ya Chadema hakuna Kiongozi wa ngazi yoyote wa Chama hicho anayeweza kufanya Maamuzi ya Peke yake (Maamuzi Binafsi) ambayo yanaweza kutengua adhabu aliyopewa Mwanachama yeyote yule na Vikao halali vya Chama.

Njia pekee ya kufanya hivyo ni kwa kutumia Vikao vile vile vya Chama, ambavyo kwa namna yoyote havitaweza kuketi ili kujadili Ujinga huo, Halima Mdee na Wenzake walishafukuzwa na Chadema kwa vikao halali vya Chama vilivyotumia pesa nyingi za Chama kuviitisha, Chadema haina hela za kuchezea ili kuitisha vikao vya masihara, hili limeisha na waendelee kujiambatanisha na CCM kama walivyofanya kwa miaka mitano yote.

Dkt Slaa aliondoka Chadema kwa kisingizio cha Lowassa, akiwa yeye ndiye kamleta Lowassa! akahongwa Ubalozi waziwazi , namna alivyoingizwa Hotelini kwa Press iliyoandaliwa na serikali ili kutukana Chadema kila mtu aliona (Video zile zingalipo hata leo), Huyu hata Shambulio la kumuua Tundu Lissu aliita Shambuloo la Kawaida, na kwamba mashambulio kama hayo hata huko Ulaya yanafanyika, huyu aweza kurudi Chadema, Chama alichokituhumu kuleta Choo sebuleni ili iweje?

Napinga kabisa jambo hili kufanyika, Chadema ina lundo la Wamama wenye uwezo mkubwa sana wa kuwa viongozi, hakuna sababu ya maana wala ya kijinga ya kuwarejesha Mamluki, Naapa kutoshirikiana nao katika lolote hata kama watarejeshwa (Maana Chama si changu peke yangu)

Wengine wanaweza kusema kwamba Nina roho mbaya na labda nashindwa Kusamehe, lakini ni wapi kwenye Vitabu vya Mungu imeandikwa Tumsamehe Shetani? Pamoja na Mwenyezi Mungu kusisitiza mno Msamaha na kusamehe lakini hakuwahi kuagiza kusamehe Mwovu Shetani.

Naomba Kuwasilisha.
Kwa taarifa yako wanarudi Chadema uchague mawili kubaki chadema au kuondoka
 
Kwa Mujibu wa Katiba ya Chadema hakuna Kiongozi wa ngazi yoyote wa Chama hicho anayeweza kufanya Maamuzi ya Peke yake (Maamuzi Binafsi) ambayo yanaweza kutengua adhabu aliyopewa Mwanachama yeyote yule na Vikao halali vya Chama.

Njia pekee ya kufanya hivyo ni kwa kutumia Vikao vile vile vya Chama, ambavyo kwa namna yoyote havitaweza kuketi ili kujadili Ujinga huo, Halima Mdee na Wenzake walishafukuzwa na Chadema kwa vikao halali vya Chama vilivyotumia pesa nyingi za Chama kuviitisha, Chadema haina hela za kuchezea ili kuitisha vikao vya masihara, hili limeisha na waendelee kujiambatanisha na CCM kama walivyofanya kwa miaka mitano yote.

Dkt Slaa aliondoka Chadema kwa kisingizio cha Lowassa, akiwa yeye ndiye kamleta Lowassa! akahongwa Ubalozi waziwazi , namna alivyoingizwa Hotelini kwa Press iliyoandaliwa na serikali ili kutukana Chadema kila mtu aliona (Video zile zingalipo hata leo), Huyu hata Shambulio la kumuua Tundu Lissu aliita Shambuloo la Kawaida, na kwamba mashambulio kama hayo hata huko Ulaya yanafanyika, huyu aweza kurudi Chadema, Chama alichokituhumu kuleta Choo sebuleni ili iweje?

Napinga kabisa jambo hili kufanyika, Chadema ina lundo la Wamama wenye uwezo mkubwa sana wa kuwa viongozi, hakuna sababu ya maana wala ya kijinga ya kuwarejesha Mamluki, Naapa kutoshirikiana nao katika lolote hata kama watarejeshwa (Maana Chama si changu peke yangu)

Wengine wanaweza kusema kwamba Nina roho mbaya na labda nashindwa Kusamehe, lakini ni wapi kwenye Vitabu vya Mungu imeandikwa Tumsamehe Shetani? Pamoja na Mwenyezi Mungu kusisitiza mno Msamaha na kusamehe lakini hakuwahi kuagiza kusamehe Mwovu Shetani.

Naomba Kuwasilisha.
Chama cha siasa kinahutaji watu ili kiwe na nguvu. Kinahitaji watu wengi sana kila kona ya nchi ili kishike dola.
Fungueni mioyo na milango watu waje kwenye chama chenu.
Kule kwingene wameanza kupoteana. Majina ya wateule yamefichwa kwenye manyonyo! Ukiacha wasanii... Wenye utimamu hawana imani na kijani na njano.
 
Back
Top Bottom