Napinga Njama zozote za kuwarejesha Wasaliti Chadema akiwemo Dkt Slaa na Halima Mdee, Walishafukuzwa na Baraza Kuu

Napinga Njama zozote za kuwarejesha Wasaliti Chadema akiwemo Dkt Slaa na Halima Mdee, Walishafukuzwa na Baraza Kuu

Tatizo lako ukiwa mjinga kila umuonaye unafikiri ni mjinga mwenzio
Habari za Leo muelevu, umeelevusha wangapi Leo!!? Ha hahahaha 🤣 😂 🤣
====
Baada ya miezi sita uje usome Tena mabandiko yako kwenye uzi huu. Na ujitafakari kimya kimya!
 
Habari za Leo muelevu, umeelevusha wangapi Leo!!? Ha hahahaha 🤣 😂 🤣
====
Baada ya miezi sita uje usome Tena mabandiko yako kwenye uzi huu. Na ujitafakari kimya kimya!
Unajichekesha kama chizi aliyeona jalala jipya, na machawa yote ya CCM kichwani ni empty
 
Shetani mpya ana hasira za ulemavu mguu mmoja mfupi na kisasi ambacho ni haki yake, sasa akipanga safu yake hataki usaidizi maana anaweza hata kuokoteza waliomuasi makengeza , iko wazi mabifu ya kale hayamhusu boss mpya wa saccos ya DJ mlevi na mhuni danga la Joy!

Wanadai njaa imeingia huko ila ni suala la mpito tu, maana ruzuku zijazo hazitaenda tena kwa Joy tutakula wote, chauma ubwabwa oyee!!
Sijui umesimamia wapi. Mmoja umemwita shetani mpya. Mwingine umemwita makengeza. Aiseee! Hata kama hakujui lakini vua unyama huo na uvae ubinadamu. Maadam upo duniani, usijivunie uzima wa viungo maana lolote linaweza kukutokea.
 
Kiukweli watu wengi hawajui kilichotokea,ila hata TAL anajua kilichotokea pale............ Ila mtawasema vibaya hawa COV 19,vipi nikisema walitekwa?
 
Afadhali slaa anaweza kusameheka lakini not those 19 hyenas
 
Kwa Mujibu wa Katiba ya Chadema hakuna Kiongozi wa ngazi yoyote wa Chama hicho anayeweza kufanya Maamuzi ya Peke yake (Maamuzi Binafsi) ambayo yanaweza kutengua adhabu aliyopewa Mwanachama yeyote yule na Vikao halali vya Chama.

Njia pekee ya kufanya hivyo ni kwa kutumia Vikao vile vile vya Chama, ambavyo kwa namna yoyote havitaweza kuketi ili kujadili Ujinga huo, Halima Mdee na Wenzake walishafukuzwa na Chadema kwa vikao halali vya Chama vilivyotumia pesa nyingi za Chama kuviitisha, Chadema haina hela za kuchezea ili kuitisha vikao vya masihara, hili limeisha na waendelee kujiambatanisha na CCM kama walivyofanya kwa miaka mitano yote.

Dkt Slaa aliondoka Chadema kwa kisingizio cha Lowassa, akiwa yeye ndiye kamleta Lowassa! akahongwa Ubalozi waziwazi , namna alivyoingizwa Hotelini kwa Press iliyoandaliwa na serikali ili kutukana Chadema kila mtu aliona (Video zile zingalipo hata leo), Huyu hata Shambulio la kumuua Tundu Lissu aliita Shambuloo la Kawaida, na kwamba mashambulio kama hayo hata huko Ulaya yanafanyika, huyu aweza kurudi Chadema, Chama alichokituhumu kuleta Choo sebuleni ili iweje?

Napinga kabisa jambo hili kufanyika, Chadema ina lundo la Wamama wenye uwezo mkubwa sana wa kuwa viongozi, hakuna sababu ya maana wala ya kijinga ya kuwarejesha Mamluki, Naapa kutoshirikiana nao katika lolote hata kama watarejeshwa (Maana Chama si changu peke yangu)

Wengine wanaweza kusema kwamba Nina roho mbaya na labda nashindwa Kusamehe, lakini ni wapi kwenye Vitabu vya Mungu imeandikwa Tumsamehe Shetani? Pamoja na Mwenyezi Mungu kusisitiza mno Msamaha na kusamehe lakini hakuwahi kuagiza kusamehe Mwovu Shetani.

Naomba Kuwasilisha.
Wewe Umechanganyikiwa Timu MBOWE, Marehemu Ameshafariki, na Keshazikwa- Mnamuwekea Marehemu Matanga MWAKA Mzima? Kubalini Matokeo Msiba Ushakwisha, Pombe za Bule na NYAMA Choma za Dj Mbowe ndio Zinawazuzua, Mfuate nyumbani kwake kama unampenda Sana
 
Wewe Umechanganyikiwa Timu MBOWE, Marehemu Ameshafariki, na Keshazikwa- Mnamuwekea Marehemu Matanga MWAKA Mzima? Kubalini Matokeo Msiba Ushakwisha, Pombe za Bule na NYAMA Choma za Dj Mbowe ndio Zinawazuzua, Mfuate nyumbani kwake kama unampenda Sana
Muogope Mungu Mkuu, aliyechanganyikiwa anawezaje kukumbuka hadi Vifungu vya katiba ya Chadema?
 
Dr Slaa hakuisaliti Chadema bali viongozi wa Chadema ndio walimsaliti Dr Slaa.. Nitarudi Chadema na kuwa mwanachama mtiifu na mwaminifu endapo Dr Slaa atarudi Chadema..
 
Heshima? Kwa mujibu wako ni sawa. Yeye atabaki kuwa msaliti kama wasaliti wengine. Ukikimbia uwanaja wa vita wewe ni msaliti tu, na hakuna jina jngine la kuupamba usaliti huo.
Mliuza chama bei gani kwa EL?

Neno usaliti mnaelewa maana yake vijana?
 
Back
Top Bottom