ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 9,091
- 21,087
Hiyo bandari hata wakupe utaifanyia nini?
Bandari imekuwepo toka uhuru tija yake hamna
Ni kuiba tu
Mama ni Rais wa wote acha akafurahi na makolo nae ni wake hata kama ni mbumbumbu
Sent using Jamii Forums mobile app
Bandari imekuwepo toka uhuru tija yake hamna
Ni kuiba tu
Mama ni Rais wa wote acha akafurahi na makolo nae ni wake hata kama ni mbumbumbu
Sent using Jamii Forums mobile app