Uchaguzi 2020 Napinga viongozi wa dini kukutana kwa lengo la kuelezea kinachoitwa mafanikio ya Rais Magufuli, hii ni kampeni na haikubaliki

Usihofu; ni upepo utapita tuu.
The bottom line is SHE WILL SHINE and coninue to shine contrary to emerging enemies and non-believers.
 
Nachoelewa kwamba siku zote viongozi wa siasa na sawa na viongozi wa dini Mana wote wanaongea kwa kutumia silaha moja tu nayo ni ulimi
 
Tuliwadhibiti vibaya sana hadi Pongezi zao zikaishia kuwa kongamano la ndani .

Mungu ibariki JF
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…