Uchaguzi 2020 Napinga viongozi wa dini kukutana kwa lengo la kuelezea kinachoitwa mafanikio ya Rais Magufuli, hii ni kampeni na haikubaliki

Hu
Hujui........Ahaaa! Mbona hapo viongozi hao wa dini wapo kwenye vikao vya upinzani?.....sijui.......uzuri wa nchi yetu haina ubaguzi. 'KWANI KUNYA ANYE KUKU, AKINYA BATA.......'
 
Wakikosoa serikali, wanaonjwa kuwa wasichanganye dini na siasa, na kwamba waambiwa wachague moja aidha wafanye dini au wawe wanasiasa, ila wakisia na wao wenyewe wanaalikwa wanakuja haionekani kabisa kama wanafanya siasa
 
Mbona maaskofu wakikemea unakuwaga wa kwanza kuanzisha uzi humu kusifia.

Unataka mambo yanayokufurahisha tu ndo yatendeke. Tengeneza dunia yako!
Kukemea na kufundisha ni kazi ya kiongozi wa dini siyo kusifia.
Wewe huna dini ndiyo maana huzijui kazi za viongozi wa dini
 
Mashehe wa bakwata wamo kwenye payroll ya serikali na ccm
 
Na wewe ita wale mnaowaita wanajitambua nao waseme vitu ambavyo havikufanyika kwani kosa liko wapi?
Kuna bagonza shoo niwemugizi na wengine na yule wa morogoro aliekosa uteuzi nao waseme mapungufu ya srikari hii.
 
Na wewe ita wale mnaowaita wanajitambua nao waseme vitu ambavyo havikufanyika kwani kosa liko wapi?
Kuna bagonza shoo niwemugizi na wengine na yule wa morogoro aliekosa uteuzi nao waseme mapungufu ya srikari hii.
umesikia hao wameitisha kongamano kuipongeza chadema ?
 
umesikia hao wameitisha kongamano kuipongeza chadema ?
Ikiwezekana washauri wafanye hivyo, pia ujue hawakuesa wanaipongeza CCM bali ni serikari amabayo pengine na wewe ni mtendaji ila uko chadema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…